humu watu wanajiita majina tofauti tofauti na kuna id nyingi tu zakiume kumbe zakike by the way sikusoma jina lako,kwani vipi mkuu ume mind..?Mwanamke gan anaeza jiita bigmen? Kuwa unatumia common sense
Wewe mdada acha ufala, Mm nina mke. Labda uwe mke wangu mdogoNitumie yako uwe mke wangu
Angalia tu usiibe demu wangu kijanaNatafuta mchumba ambae, anaye elewa maisha mvumilivu kwa kila Hali, mwenye hofu ya Mungu, mchapakazi ili tukiwa pamoja tujenge si sio kuvurugana.
Umri wake 25-29
Nipo Kilimanjaro Moshi mjini,
Nichek pm tuongee vizuri
Huko Rombo sio Machame.Msiw mnakariri kila kitu... Sio ukweli kuwa wanawake wakichaga Wana uwa waume zao sio kweli kabisa... Bibi na babu yangu wamezeeka pamoja ni wachaga wote
Poa mamboMambo vp
Kweli kabisaaa... Ntakula wewe na chakula chakoNaeza kukulisha kwa miaka kumi nazaidi