Meale
Member
- Nov 24, 2009
- 91
- 0
Jamani wana JF kijana mwenzenu nimechoka kuwepo kuwepo sana kwa hiyo nataka KUOA hivyo nipo kwenye mchakato wa kumpata.
Wasifu wangu
Ningependa kupata rafiki/mchumba mwenye sifa hizi japo sio lazima awe nazo zote.
Mwenye sifa hizi au baadhi asisite kutuma PM au aniandikie email kwa
email address meale2005@gmail.com au tuwasiliane kwa simu no. +255 766 446688
Wasifu wangu
- Jinsia, mwanaume
- Umri, miaka 29
- Dini, mkristu
- Kazi, nimejiajiri
- Kipato, cha wastani
- Napendelea kuchat, kubadilishana mawazo, michezo, muziki na kusikiliza vyombo vya habari na kuangalia filamu za kuchekesha..
Ningependa kupata rafiki/mchumba mwenye sifa hizi japo sio lazima awe nazo zote.
- Umri usiozidi miaka 30
- Asiwe mfupi sana
- Elimu isiyopungua ya sekondari
- Awe anafanya kazi (kujiajiri au kuajiriwa)
- Umbo la wastani
- Sibagui rangi (race)
Mwenye sifa hizi au baadhi asisite kutuma PM au aniandikie email kwa
email address meale2005@gmail.com au tuwasiliane kwa simu no. +255 766 446688