90sgeneration
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 275
- 375
- Thread starter
- #21
Naamini.Amini na itakua.
Naamini.Amini na itakua.
Kwa nini mkuu unasema hivyo.Ukipata kazi au msaada wowote nimekaa paleee.
Acha uchawi na roho mbaya mkuu usiwange hivyo Haina maslahiUkipata kazi au msaada wowote nimekaa paleee.
Ukipata kazi au msaada wowote nimekaa paleee.
Upo dsm? Njoo dm nikuelekeze jamboHabari za wakati huu kwa mala nyingine wakuu, Just a reminder that i still need a job.
Sawq, nimekucheck Mkuu.Upo dsm? Njoo dm nikuelekeze jambo
Amen Amen.Mungu akufanyie wepesi katika Safari yako ya kutafuta ajira.
Kila la heri.
Sina maana kwamba nakubania ila mkuu humu ndani pagumu sana watu kukusaidia kwann niwe mnafiki kama hao wengine kukupa moyo.....Kwa nini mkuu unasema hivyo.
Mpe kazi sasaAcha uchawi na roho mbaya mkuu usiwange hivyo Haina maslahi
Mpe kazi sasa wabongo unafiki umewajaa sana.Watu Kama wewe ndo wanatakiwa kupigwa ban humu,,,hiyo roho yako ya korosho Haiwezi kukusaidia na chochote.
Mkuu paka leo ujapataWakuu bado natafuta. Nipen updates.
Bado kaka.Mkuu paka leo ujapata