Naomba ushauri,nimfungulie kesi au?

JITABOY

JF-Expert Member
Sep 2, 2013
254
35
Mimi bwana! nimfanya biashara wa m-pesa iltokea ckumoja akajamteja dukani kwangu baada ya kutoa pesa,aliyo toa kumlipa nikamzidishia kama laki moja.Nahuyu mteja ilikuwa ni mara ya kwanza kuja hapo kwangu japo niliweza kumkalili,alipo niandikia namba baada ya kutoa pesa,nakuja kustuka namba haikuwa ile iliyo toa toa pesa.Baada ya kama miezi miwili akaja nilipo mwambia aliruka nakudai yeye hajawahi kuja hapa kwangu je? nifanyeje ili namimi nipunguze machungu na hadi sasa huwa anakuja hapa kwangu na wakati mwingine ananipigia cm anakuja kutoa pesa.Binafsi nilipanga nimpige marufuku kujakwangu kutoa pesa maana siyo mwaminifu,naomba mawazo yenu ndg zangu.
 
Imekula kwako hiyo, mwache tu aendelee kuja na wewe uwe makini kwenye kazi yako. Hata ukimshitaki bure tu, utapoteza muda wako mwingi na kujitia hasara zaidi na hautolipwa.
 
Imekula kwako hiyo, mwache tu aendelee kuja na wewe uwe makini kwenye kazi yako. Hata ukimshitaki bure tu, utapoteza muda wako mwingi na kujitia hasara zaidi na hautolipwa.

Nashukuru kwa ushauri wako kaka binafsi hilijambo liliniangaisha kichwani sana poaushauri wako nimeuelewa.
 
Back
Top Bottom