Naomba kujuzwa zaidi kuhusu biashara ya nyumba (AirBnB)

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,086
21,556
Habari wakuu,

Straight to the point. Kuna ka kibanda kangu kamoja nilikajenga nikiwa nafanya kazi bagamoyo manispaa, ni ka jumba Ka vyumba viwili (vyote self), sebule, jiko na public washroom. NI takribani kilomita 5 kutoka Bagamoyo centre.

Sasa baada ya kuhama mazingira hayo nikaona nitafute mpangaji angalau niwe napata kodi maana sitarajii kurudi tena mazingira Yale. Wakati nafanya utaratibu kuna jamaa alinigusia tu juu juu kuhusu AirBnB ambapo akaniambia wageni (wazungu) wanakua wanakodi nyumba kwa muda kadhaa.

Sasa sijaelewa kiundani kusema za ukweli, nimedownload hadi app yao lakini bado sijapata mwanga mzuri hivyo naomba kwa anayefahamu kuhusu hii kitu aweze kushea knowledge hapa kusudi tuweze kuelimika kwa faida ya wengi. Asante 🙏
 
Cha kwanza kabisa appartment zako ziwe za kisasa kweli, kwa mfano bedroom moja appartment inakuwa kama studio chumba cha kulala, lounge kitchen na toilet.

Huwezi kuingia kwenye mfumo wa biashara hiyo kwa nyumba chakavu au ya kuungaunga, zingatia hilo ndio muhimu kuliko yote.
 
Cha kwanza kabisa appartment zako ziwe za kisasa kweli, kwa mfano bedroom moja appartment inakuwa kama studio chumba cha kulala, lounge kitchen na toilet.

Huwezi kuingia kwenye mfumo wa biashara hiyo kwa nyumba chakavu au ya kuungaunga, zingatia hilo ndio muhimu kuliko yote.
umemaliza nilichotaka kumueleza.
 
Nenda X katafute uzi wa huyo mdau kaelezea hii biashara vizuri sana
Screenshot_20240502-122728.jpg
 
Cha kwanza kabisa appartment zako ziwe za kisasa kweli, kwa mfano bedroom moja appartment inakuwa kama studio chumba cha kulala, lounge kitchen na toilet.

Huwezi kuingia kwenye mfumo wa biashara hiyo kwa nyumba chakavu au ya kuungaunga, zingatia hilo ndio muhimu kuliko yote.
Nashkuru mkuu
 
Back
Top Bottom