Mpe alternative na sababu mkuuHamna gari hapo. Shipa hilo
X-trail hapana mkuu. Ni gari ambayo haijawahi niingia akilini kabisa. Ni bora nibaki na toyota.. Unless iwe ni model za sasahivi.. Tatizo bei imesimama kupita maelezo.1. Spea adimu, hapa TZ,
2. Mafundi hawazijulii,
3. Alternatively, Chukua Nissan X-trail (Bei poa, spea kama zote, Engine cc 1,990. Mafundi kama wote)
View attachment 2203983
View attachment 2203985
View attachment 2203986
View attachment 2203987
Unyama mwingi kwenye Xtrail1. Spea adimu, hapa TZ,
2. Mafundi hawazijulii,
3. Alternatively, Chukua Nissan X-trail (Bei poa, spea kama zote, Engine cc 1,990. Mafundi kama wote)
View attachment 2203983
View attachment 2203985
View attachment 2203986
View attachment 2203987
2010 Ni hivi karibuni? ( Miaka 12 iliyopita?) Umaskini mbaya aiseeNadhani unamzungumzia RVR za kale..
Hii ni toleo la miaka ya karibuni. Kuanzia 2010 hivi.
Soma uelewe mkuu... Usiwe judgmental hata kwa watu usiowajua. Gari aliyotaja jamaa ni miaka ya 2002 huko... Version niliyozungumzia ni kuanzia 2010 ndio maana kuna neno "kuanzia". Kama lugha mama huelewi sidhani kama unaweza kuwa na mchango wa maana.. Acha wenye uelewa wachangie. Jifunze kutokua na dharau pia.2010 Ni hivi karibuni? ( Miaka 12 iliyopita?) Umaskini mbaya aisee
Mashosti Mumeanza kuparuranaSoma uelewe mkuu... Usiwe judgmental hata kwa watu usiowajua. Gari aliyotaja jamaa ni miaka ya 2002 huko... Version niliyozungumzia ni kuanzia 2010 ndio maana kuna neno "kuanzia". Kama lugha mama huelewi sidhani kama unaweza kuwa na mchango wa maana.. Acha wenye uelewa wachangie. Jifunze kutokua na dharau pia.
Hiyo gari ni nzuri na Spare zipo , Spare zake inafunga na Mitsubishi Autolander, kuanzia shock up za mbele na nyuma inafunga Spare za Autolander mpaka brake Pad, kiufupi ni Autolander, ni kama Kluger na HarrierWakuu naombeni mwenye ufahamu kuhusu hii gari, Mitsubishi RVR. Je ni gari nzuri kwa matumizi ya hapa kwetu. Haswa kwenye swala la reliability.
View attachment 2203396