dracular
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 767
- 1,057
Habari za majukumu wakuu?
Gari yangu aina ya Toyota RAV 4 miss TZ jana ilinasa kwenye dimbwi la maji kwenye kina kirefu kidogo ikabidi mpaka tuite watu yale magari ya breakdown waje waitoe baada ya juhudi zetu kugonga mwamba.
Sasa wakuu kwanza gari baadae ikagoma kuwaka kabisa tukachaji betri ndo ikawaka. Sasa baada ya hapo ikawa ina mis gia na kupoteza nguvu kabisa na sasa imezima kabisa na haiwaki.
Naombeni msaada wa kitaalam hapa shida itakuwa ni nini maana mimi sina uelewa sana kuhusu magari.
Natanguliza shukrani ndugu zangu
Gari yangu aina ya Toyota RAV 4 miss TZ jana ilinasa kwenye dimbwi la maji kwenye kina kirefu kidogo ikabidi mpaka tuite watu yale magari ya breakdown waje waitoe baada ya juhudi zetu kugonga mwamba.
Sasa wakuu kwanza gari baadae ikagoma kuwaka kabisa tukachaji betri ndo ikawaka. Sasa baada ya hapo ikawa ina mis gia na kupoteza nguvu kabisa na sasa imezima kabisa na haiwaki.
Naombeni msaada wa kitaalam hapa shida itakuwa ni nini maana mimi sina uelewa sana kuhusu magari.
Natanguliza shukrani ndugu zangu