The Conspiracist
Member
- May 12, 2019
- 60
- 101
Jinsi: Me,
Umri: 28, sina mtoto, sijawahi kuoa.
Kazi: Mwalimu, Muandishi.
Makazi: Moshi (kwa muda),
Imani: Mkristo,
Sifa: Mweusi, Mrefu, ....
'Naamini Mke mwema anaweza kupatikana hapa pia '
Natafuta Mwanamke mwenye Umri wa kati ya miaka 18 hadi 30. Lengo ni ili awe Mke wangu:
Mwanamke ninayemhitaji:
Awe na akili ya kuwa mke na mama wa watoto.
Awe na Heshima.
Awe Mkristo au Mwenye utayari wa kuwa Mkristo.
Sijali kuhusu usomi au kutokusoma.
Ikiwa ana mtoto isiwe zaidi ya 1.
Uzuri/Urembo ni sifa ya ziada.
Kwa aliye na sifa tajwa karibu PM tuzungumze.
Nina maanisha nilichoandika.
The Conspiracist'.
Umri: 28, sina mtoto, sijawahi kuoa.
Kazi: Mwalimu, Muandishi.
Makazi: Moshi (kwa muda),
Imani: Mkristo,
Sifa: Mweusi, Mrefu, ....
'Naamini Mke mwema anaweza kupatikana hapa pia '
Natafuta Mwanamke mwenye Umri wa kati ya miaka 18 hadi 30. Lengo ni ili awe Mke wangu:
Mwanamke ninayemhitaji:
Awe na akili ya kuwa mke na mama wa watoto.
Awe na Heshima.
Awe Mkristo au Mwenye utayari wa kuwa Mkristo.
Sijali kuhusu usomi au kutokusoma.
Ikiwa ana mtoto isiwe zaidi ya 1.
Uzuri/Urembo ni sifa ya ziada.
Kwa aliye na sifa tajwa karibu PM tuzungumze.
Nina maanisha nilichoandika.
The Conspiracist'.