we hama tuKuna mdada nyumba jirani huwa anafua nguo za ndani nyingi na kuzianika kujaza kamba ikiwa ni njiani tunapopita.
Hii tabia sipendezwi nayo inatutia tu akshi asubuhii
Kwani hizo chupi huwa anazichafua mara moja au akioga hafui akabadilisha ndo azirundike afue machupi zaidi ya 40 siku moja
Nyie wanawake wa mjini mnatutia vishawishi jamani
Kwanini akifua japo asianike faragha kama bafuni,
Ni hatari wadada wa Tabata
Nitahama Tabata mimi
Pasi wanayo, ila na jua lipo, wacha waanike juani, kero ya papuchi yenye harufu ni kubwa mnooooHawana pasi?
Anatangaza biashara 🤣Kuna mdada nyumba jirani huwa anafua nguo za ndani nyingi na kuzianika kujaza kamba ikiwa ni njiani tunapopita.
Hii tabia sipendezwi nayo inatutia tu akshi asubuhii
Kwani hizo chupi huwa anazichafua mara moja au akioga hafui akabadilisha ndo azirundike afue machupi zaidi ya 40 siku moja
Nyie wanawake wa mjini mnatutia vishawishi jamani
Kwanini akifua japo asianike faragha kama bafuni,
Ni hatari wadada wa Tabata
Nitahama Tabata mimi
Upwiru pro MAXKijana Oa upwiru utakuua
YES. Eti mtu anaenda kuhesabu chupi mpaka zifikie 40 kwenye kamba halafu anatumia pia muda kuleta uzi hapa. Shame on U. i.e. HANA KAZI ya kufanya yupo Idle. An Idle mind is Satan's workshop.FANYENI KAZI NYIE.
KAMMON!
Aisee! Kwani chupi zina nini cha ajabu? Wabongo bhana, duh! kazi ipo.Atakuwa ni malaya tu huyo. Malaya huwa hawaoni aibu kuanika chupi zao hadharani
Safi sana. Au nani alimtuma kwenda kufanya sensa ya chupi mtaani?Nani alikutuma uishi uswahilini?
Tafuta hela uhame huko
Inuse ataacha hiyo tabiaKuna mdada nyumba jirani huwa anafua nguo za ndani nyingi na kuzianika kujaza kamba ikiwa ni njiani tunapopita. Hii tabia sipendezwi nayo, inatutia tu akshi asubuhii.
Kwani hizo chupi huwa anazichafua mara moja au akioga hafui akabadilisha ndio azirundike afue machupi zaidi ya 40 siku moja
Nyie wanawake wa mjini mnatutia vishawishi jamani. Kwanini akifua japo asianike faragha kama bafuni?
Ni hatari wadada wa Tabata. Nitahama Tabata mimi.
🤣Acha uzinzi mkuuHuwa najiuliza kwanin chupi za wake zetu hazisisimui,ila za majirani inakua hatari.
inashangaza sana!Na kweli aisee