Nakerwa na tabia ya jirani yangu kuanika chupi hadharani

Kuna mdada nyumba jirani huwa anafua nguo za ndani nyingi na kuzianika kujaza kamba ikiwa ni njiani tunapopita.
Hii tabia sipendezwi nayo inatutia tu akshi asubuhii
Kwani hizo chupi huwa anazichafua mara moja au akioga hafui akabadilisha ndo azirundike afue machupi zaidi ya 40 siku moja
Nyie wanawake wa mjini mnatutia vishawishi jamani
Kwanini akifua japo asianike faragha kama bafuni,
Ni hatari wadada wa Tabata
Nitahama Tabata mimi
we hama tu
 
Kuna mdada nyumba jirani huwa anafua nguo za ndani nyingi na kuzianika kujaza kamba ikiwa ni njiani tunapopita.
Hii tabia sipendezwi nayo inatutia tu akshi asubuhii
Kwani hizo chupi huwa anazichafua mara moja au akioga hafui akabadilisha ndo azirundike afue machupi zaidi ya 40 siku moja
Nyie wanawake wa mjini mnatutia vishawishi jamani
Kwanini akifua japo asianike faragha kama bafuni,
Ni hatari wadada wa Tabata
Nitahama Tabata mimi
Anatangaza biashara 🤣
 
Sahizi chupi imekuwa kama vazi la nje watu hawana heshima tena huku mijini zamani akina mama walikuwa wanaanika kwa nje wanabana na kanga, kama hupendezwi hama tu hakuna namna kama umejenga huo ni msala mdogo fata mishe zako tu
 
Atakuwa ni malaya tu huyo. Malaya huwa hawaoni aibu kuanika chupi zao hadharani
 
Ka
Kuna mdada nyumba jirani huwa anafua nguo za ndani nyingi na kuzianika kujaza kamba ikiwa ni njiani tunapopita. Hii tabia sipendezwi nayo, inatutia tu akshi asubuhii.

Kwani hizo chupi huwa anazichafua mara moja au akioga hafui akabadilisha ndio azirundike afue machupi zaidi ya 40 siku moja

Nyie wanawake wa mjini mnatutia vishawishi jamani. Kwanini akifua japo asianike faragha kama bafuni?
Ni hatari wadada wa Tabata. Nitahama Tabata mimi.
Inuse ataacha hiyo tabia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom