Najilaumu sana kutokuchukua masomo ya Science, hasa Physics na Chemistry

General Nguli

JF-Expert Member
Apr 22, 2022
1,122
2,309
Habarini wa Kuu,

Nina imani wazima Mungu ana tubariki mpaka sasa na tunaendelea vyema na majukumu yetu.
Kutokana na kasi ya mapinduzi ya Science hapa Duniani nimekuwa muhanga hasa nikiwa na fuatilia vipindi mbali mbali.

Wakati nikiwa nasoma nlikuwa mpiga Debe mzuri wa Masomo ya Sanaa. Ushauri ikiwa kama mzazi na kwa wazazi wenzangu tuwasisitize watoto wetu katika kujifunza Tech i mean kudeal na maswala ya Science kwa masomo na kwa ujumla.

Tazama sasa Dunia iliko na sisi tuliko. Mungu atusaidie japo hao ma Gwiji wa Science wameanza kuzinguana.
 
Habarini wa Kuu,naimani wazima Mungu ana tubariki mpaka sasa na tunaendelea vyema na majukumu yetu.
Kutokana na kasi ya mapinduzi ya Science hapa Duniani nimekuwa muhanga hasa nikiwa na fuatilia vipindi mbali mbali.

Wakati nikiwa na soma nlikuwa mpiga Debe mzuri wa Masomo ya Sanaa.Ushauri ikiwa kama mzazi na kwa wazazi wenzangu tuwasisitize watoto wetu katika kujifunza Tech i mean kudeal na maswala ya Science kwa masomo na kwa ujumla.

Tazama sasa Dunia iliko na sisi tuliko.Mungu atusaidie japo hao ma Gwiji wa Science wameanza kuzinguana.
Sayansi asili ndio inayotawala dunia kwa sasa. Whether you like it or not.
 
Habarini wa Kuu,naimani wazima Mungu ana tubariki mpaka sasa na tunaendelea vyema na majukumu yetu.
Kutokana na kasi ya mapinduzi ya Science hapa Duniani nimekuwa muhanga hasa nikiwa na fuatilia vipindi mbali mbali.

Wakati nikiwa na soma nlikuwa mpiga Debe mzuri wa Masomo ya Sanaa.Ushauri ikiwa kama mzazi na kwa wazazi wenzangu tuwasisitize watoto wetu katika kujifunza Tech i mean kudeal na maswala ya Science kwa masomo na kwa ujumla.

Tazama sasa Dunia iliko na sisi tuliko.Mungu atusaidie japo hao ma Gwiji wa Science wameanza kuzinguana.
Mimi sidhani kama ni hoja hasa kwenye masuala mengine unaweza jifunza.
Mimi napiga ma php, python na majava nina ma info ya kibao na ni mwendo wa kujfunza mwenyewe tu na wala sikusoma ma physics baada ya form 4.
 
Yaap nakubaliana na wewe hicho kitu lakini hutaweza enjoy litakapo kuja swala la kazi nje ya Laptop yako.Science yako ni ndani ya Comp isio na uwiano wa physics
Mimi sidhani kama ni hoja hasa kwenye masuala mengine unaweza jifunza.
Mimi napiga ma php, python na majava nina ma info ya kibao na ni mwendo wa kujfunza mwenyewe tu na wala sikusoma ma physics baada ya form 4.
 
Yaap nakubaliana na wewe hicho kitu lakini hutaweza enjoy litakapo kuja swala la kazi nje ya Laptop yako.Science yako ni ndani ya Comp isio na uwiano wa physics
Mkuu unajua uzuri mimi ni mpenzi wa mambo related na comps. Kuna mambo ambayo yananivutua sana lakini sidhani hata kuna mwanafizikia wa kibongo anaweza yafanya. Kwa mfano game engine development kama unreal. Mle kuna ma physics ya hatari. Ile ndio inahusika na how things respond according to laws of physics.
Kuna siku niliona concept ya boat ambayo ni speed boat isiyoyumba. Yan hata mawimbi yawe kiasi gani haiyumbi ina shick ups zinafanya isiyumbe.
Jamaa mmoja ni wa huko mbele alieleza kwanini ni impossible hiyo concept alianza kwa kusema yeye kaspecialize kwenye mechanics. Aisee alishuka concepts na hesabu mpaka kila mtu akasema eeeh. Sema ni page ya mbele huko ni wa marekani na huyo jamaa bado mwanafunzi nikabaki najiuliza hivi na wa kwetu haya wanayaelewa.
 
Dogo acha kujilaumu, huku mtaani tunafanya kazi ambazo hatukusomea na maisha yanaenda fresh tu.
Ulipo weka juhudi zako, kila kitu kinalipa ukiweka juhudi.
Mada ni jinsi ya ku clamatise na hii Dunia ya sasa katika ulimwengu wa science.Nina kazi na mke mmoja na michepuko.
 
Physics ya TZ !
Huwezi unda chochote labda uwe una unga unga small gadgets. Wengi hutumia physics kuhamia sekta nyingine hasa graduate wa BSC in physic.
Elon musk kwa kutumia phycs na kusoma vitabu ameweza kuuunda vitu vingi si bongo.
Physics ndio baba wa cutting edge technology kama ulivyobainisha ila sio kwa Africa .
Hilo somo linaendeshwa kisanii sanii tu barani Africa.
Imagine mpaka leo huwezi kukuta oscilloscope mashule mengi, science kit za kileo hakuna.
University -wanafundisha practical zilizopitwa na wakati nadhani alifanyaga Newton yaani irrelevant na dunia ya leo.
University X mada za muhimu sana wameziweka option.
Mfano solid state physics, material science, astrophysics nk.
Wenzetu nje wameanzisha Engineeering physics sisi bado tuna natural physics.
Wanafizikia wa ulaya wanahangaika kuunda Quantum computer, sisi hapa hata classicsl computer bado.
Mwanafizikia wa TZ hawezi kudizaini adv chip labda ujitese mara 1000 zaidi.

Sio kwamba nakukatisha tamaa ila TZ kutoboa fizikia ufanye kazi ya ziada maana unamaliza ukiwa shallow practicallly ila unaweza kuwa na GPA kubwa ya throry.
 
Habarini wa Kuu,naimani wazima Mungu ana tubariki mpaka sasa na tunaendelea vyema na majukumu yetu.
Kutokana na kasi ya mapinduzi ya Science hapa Duniani nimekuwa muhanga hasa nikiwa na fuatilia vipindi mbali mbali.

Wakati nikiwa na soma nlikuwa mpiga Debe mzuri wa Masomo ya Sanaa.Ushauri ikiwa kama mzazi na kwa wazazi wenzangu tuwasisitize watoto wetu katika kujifunza Tech i mean kudeal na maswala ya Science kwa masomo na kwa ujumla.

Tazama sasa Dunia iliko na sisi tuliko.Mungu atusaidie japo hao ma Gwiji wa Science wameanza kuzinguana.
hayo ndio masomo ninayopambana watoto wangu wasichukue.
 
Mimi sidhani kama ni hoja hasa kwenye masuala mengine unaweza jifunza.
Mimi napiga ma php, python na majava nina ma info ya kibao na ni mwendo wa kujfunza mwenyewe tu na wala sikusoma ma physics baada ya form 4.
Ulikua mpenz wa hesabu???

UKiwa mbobez wa mathematics, programming is very intetesting.. logical thinking matters na ina apply sana kwenye development.

Na enjoy problem solving kwenye system developments nikiuona mchango wa hesabu kila napogeuka upande wowote ule
 
Mi nilifikiri naongea na dogo ambaye bado yuko shule, kumbe mtu mzima mwenzangu na michepuko juu?
Sina cha kukuambia tena.
Yaap kwakweli,iko hivii kuna Podcast nyingi sana kule Duniani Youtube.Sasa wakiwa wanafanya mazungumzo na ma Programer wanaphisicia mbalimbali wakijaribu kuchambua ukuaji wa science pale ndo wanapo niacha Chaline nakosa uwelekeo.
 
Mimi nishawaambia vijana wangu kusoma hesabu mpaka Advance hio sio option. Ni lazimaaa. Sioma mchepuo wowote ule ila hesbu lazima iwepo. Kama kuna Arts yenye Mathematics wala sina tabu na wewe soma tu mwanangu. Hil tumekubaliana na nawa support haswaa
 
Ulikua mpenz wa hesabu???

UKiwa mbobez wa mathematics, programming is very intetesting.. logical thinking matters na ina apply sana kwenye development.

Na enjoy problem solving kwenye system developments nikiuona mchango wa hesabu kila napogeuka upande wowote ule
Nimesoma uchumi ila siwezi sema niko deep sana kwa hesabu maana ilikuwa inanotoa jasho.
Lakini hata kabla ya kuanza kujifunza programming nlianza kudevelop formulas za kwenye excel kwa kutumia macros.
Now naenjoy kuapply hayo hayo kwenye programming japo kuna muda napata changamoto. Kuna module moja nilitaka itengeneza ikanitoa jasho coz ya hesabu ila ntaorudia mwezi huu nlikuwa busy sana.
 
Yaap kwakweli,iko hivii kuna Podcast nyingi sana kule Duniani Youtube.Sasa wakiwa wanafanya mazungumzo na ma Programer wanaphisicia mbalimbali wakijaribu kuchambua ukuaji wa science pale ndo wanapo niacha Chaline nakosa uwelekeo.
Si kila aliyesoma physics anaelewa programing mkuu na wala programing inaweza kuwa rahisi kwake.
Ila mkuu katika kitu kitamu humu duniani ni programing
 
Back
Top Bottom