Nairobi Kenya: Mzungu apigwa kipigo Cha mbwa Koko na Security wa Petrol Station baada ya kumwita Nyani mhudumu wa kuuza mafuta

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,470
11,189
Shalom,
Tafadhari mwenye video popote alipo aiweke hapa, kuna kichapo Cha mbwa Koko mzungu mwenye matusi ya kutia watu Nyani amekipata, Nairobi ilijaa kizaa zaa baada ya mzungu kupata kichapo huku ikionekana huyu mzungu ni Baharia wa kugaurd ila bahati mbaya alizidiwa na ukubwa na uzito wa fimbo kubwa kubwa, kisha katika purukushani alikanyangwa mguu na gari aliokuwa amepanda.

Ni kweli hili ni funzo ila sio kwa namna ilivyotendeka inaumiza sana sana.

Nairobi ni noma sana bonge la kipigo ila yule mzungu inaonekana sio mtu wa kawaida amefanya guard za kutosha

Balaa tupu

Wadiz
 
Ukweli unauma sana, hasa pale mtu akikutania kuwa haujaoga,☹️☹️

Alafu ikawa ni kweli haujaoga, kiukweli lazima ukasirike.. 🤒🤒
 
Shalom,
Tafadhari mwenye video popote alipo aiweke hapa, kuna kichapo Cha mbwa Koko mzungu mwenye matusi ya kutia watu Nyani amekipata, Nairobi ilijaa kizaa zaa baada ya mzungu kupata kichapo huku ikionekana huyu mzungu ni Baharia wa kugaurd ila bahati mbaya alizidiwa na ukubwa na uzito wa fimbo kubwa kubwa, kisha katika purukushani alikanyangwa mguu na gari aliokuwa amepanda.

Ni kweli hili ni funzo ila sio kwa namna ilivyotendeka inaumiza sana sana.

Nairobi ni noma sana bonge la kipigo ila yule mzungu inaonekana sio mtu wa kawaida amefanya guard za kutosha

Balaa tupu

Wadiz
Hapo si Nairibi ni nchini RSA. Acha urongo.
 
Shalom,
Tafadhari mwenye video popote alipo aiweke hapa, kuna kichapo Cha mbwa Koko mzungu mwenye matusi ya kutia watu Nyani amekipata, Nairobi ilijaa kizaa zaa baada ya mzungu kupata kichapo huku ikionekana huyu mzungu ni Baharia wa kugaurd ila bahati mbaya alizidiwa na ukubwa na uzito wa fimbo kubwa kubwa, kisha katika purukushani alikanyangwa mguu na gari aliokuwa amepanda.

Ni kweli hili ni funzo ila sio kwa namna ilivyotendeka inaumiza sana sana.

Nairobi ni noma sana bonge la kipigo ila yule mzungu inaonekana sio mtu wa kawaida amefanya guard za kutosha

Balaa tupu

Wadiz
Sasa wewe hii habari umeitoa wapi?
 
Shalom,
Tafadhari mwenye video popote alipo aiweke hapa, kuna kichapo Cha mbwa Koko mzungu mwenye matusi ya kutia watu Nyani amekipata, Nairobi ilijaa kizaa zaa baada ya mzungu kupata kichapo huku ikionekana huyu mzungu ni Baharia wa kugaurd ila bahati mbaya alizidiwa na ukubwa na uzito wa fimbo kubwa kubwa, kisha katika purukushani alikanyangwa mguu na gari aliokuwa amepanda.

Ni kweli hili ni funzo ila sio kwa namna ilivyotendeka inaumiza sana sana.

Nairobi ni noma sana bonge la kipigo ila yule mzungu inaonekana sio mtu wa kawaida amefanya guard za kutosha

Balaa tupu

Wadiz
Kuna video inasambaa ikionyesha mzungu akipigwa kwenye kituo cha mafuta ''Kenya''. Hii video ipo tangu mwaka 2020 na tukio lilisemwa kutokea South Africa.
 
Kwahiyo mzungu hajajua kama wakenya ni wazungu wenzie mana hawatutaki wanajidai uzungu mwingiiii 🤣🤣
 
Back
Top Bottom