Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,467
- 55,031
Hapo Sasa Ikitoka December Inakuja JanuaryKwenye kutulia sasa na hii dec
Hapo Sasa Ikitoka December Inakuja JanuaryKwenye kutulia sasa na hii dec
Humjui babu onyango aliyepigwa tobo na mayele kwenye kkoo derby?Ndo nan tena huyu
Ndo vina nn mkuuHapo Sasa Ikitoka December Inakuja January
Ndiyo simjuiHumjui babu onyango aliyepigwa tobo na mayele kwenye kkoo derby?
HaaNdo nan tena huyu
Kumpata Wa Kutulia Ndiyo ShidaNdo vina nn mkuu
Na mtoto anakuwa wake au wa baba mtotoIli aweze kunihudumia huduma ninazostahili as his partner,vijana me hapana kwakwel uongo mwingi iman kwao imekufa let me try huku kwngne nionee
Habarini wapendwa,kama kichwa kinavojieleza nahitaji mtu mzma wa kutulia nae nimechoka hekaheka za vijana na uwongo wao.
Mtu mzma ninaemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 45 mpaka 60,dini yoyote,kabila lolote pia awe anajiweza kiuchumi.
Mimi ni single mama wa mtoto mmoja niko na 25 years dini ni mkristo pia ni mjasiriamali.
Note:Awe tayari kucheck afya pia nahitaji wa kutulia nae sio hit and run
Serious inbox me
OkayKumpata Wa Kutulia Ndiyo Shida
😀😀😀😀Hapo Sasa Ikitoka December Inakuja January
No sio Mimi,me sinaga shida kama zipo ni ndogondogo sana ambapo hakuna binadamu mkamilifu vijana hapana mkuuAt 25 wewe Ni single Mother Na umeshachoka hekaheka? Hizo heka heka ulianza Lini? Hemu achana Na watu wazima kwanza; rekebisha matatizo yako kwanza maana hata hao Vijana hawana shida; wewe ndo una shida.
Yeah
Hujafika marekani hapoo?Twende Ulaya, US
View attachment 2041072
HaaHujafika marekani hapoo?
Nishajitathimini na haya ndo maamuzi yangu,thank you.Kwahuo umri na yote uliyo yasema, nafikiri unapaswa kujitathmini upya.
Kwasasa naomba niishie hapa
Njoo pmNishajitathimini na haya ndo maamuzi yangu,thank you.
Au mtoto hana anatupanga sisi vijanaAt 25 wewe Ni single Mother Na umeshachoka hekaheka? Hizo heka heka ulianza Lini? Hemu achana Na watu wazima kwanza; rekebisha matatizo yako kwanza maana hata hao Vijana hawana shida; wewe ndo una shida.