Fanton Mahal
Senior Member
- Mar 22, 2024
- 113
- 375
Habari wanajukwaa,
Heri ya Kwaresma kwa ndugu zangu wakristo.
Ramadham Kareem kwa ndugu zangu waislam.
Kama ilivyo kwa wengi, katika harakati za upambanaji unajikuta una team up na wadau kadhaa katika kujaribu kuona ni namna gani mnaweza mkayafikia malengo kwa ukubwa, haraka na unafuu. BAsi na mimi ni mmoja wapo.
Nafanya biashara ya kuuza huduma. Nilianza alone lakin baada ya muda nikaona ni wakati muafaka kuongeza nguvu kazi tusaidiane majukumu. Nikapata kijana ambaye yeye kazi yake kama alivyoji profile ni Sales person. Nikamchukua nikamuweka ofisini tuanze maisha ya kushirikiana majukumu.
Alikua anafanya kaz kwenye moja ya miradi maarufu tu inayoendelea hapa jijini Dar es salaam, project ya wachina. Baada ya ku discuss terms na conditions tukaanza kazi. Tulikubaliana kuwa ni jukumu langu;
Sasa kiasili, mimi sio wale watu ambao ni "Bossy type" japo nina u serious wangu wa kutosha tu. Napenda sana as long as work is involvesld, kuwa karibu na team players wangu. Kwakifupi huwa si entertain gap between me and my guys (ninao wa 4, office admin, tech assistant, sales guy na mmoja ambaye ni oversea sio office based).
Sasa baada ya muda kupita naona kijana amekua haeleweki na performance yake honestly hainiridhishi kabisaaa and inside my heart am deeply dissapointed amd am really thinkimg of what to do.
Kijana wa sales
Nimeshafanya juhudi sana za kujaribu kumsaidia nijue anashindwa wapi kufanya kaz akapata wateja, nampa maelezo na maelezo na maelezo lakin wapi.
Nilipoona labda maelezo hayatoshi nikaamua kufanya kwa vitendo ili aone kwamba haya ninayomueleza sio tu naongea toka hewan, yanafanyika ndio maana namsisitiza afanye hivyo.
Nikawa natenga siku 3 kila week naingia sokoni kufanya marketing, mpaka mwez unaisha mimi nikifeli sana naimgiza wateja wawil lakin huwa namba inasoma mpaka 3 au 4 sometimes. Yeye hana anacholeta ofisin zaid ya stori na maelezo.
Nikaona bado labda message yangu hajaipata vizuri, nikabadil utaratibu, badala ya kwenda sokoni /marketing kivyangu na yeye kivyake ,nikaamua kwamba acha tushiriki pamoja. So nika mwambia kila unapokwenda kwa mteja wako kama una meeting, nijulishe twende pamoja.
Lengo hapa nilitaka kujua na kuona, ana engage vipi, nijue pa kumrekebisha, na pia nikataka nimfanya ANIONE MIMI the way na engage na hao hao watu wake ili ajifunze.
Mwisho wa siku nikienda nae marketimg, tunapata sales na tukirud ofisn naendelea kumpa shule na mambo mengine ili ajue namna ya ku improve.
UKUMBUKE HAPO MIMI SIO SALES PERSON BY PROFFESION, am purely a technical person. ni mtaa tu na harakat za ujasriamali zinanibidiisha kujifunza mambo mengi nisije kufa njaa.
Wakuu, nimefanya yooooote hayo lakin wapi!!!! Bila bila Na kitu kinacho ni irritate zaidi ni lack of morals kwake, hiv sasa naona hali inazid kuwa mbaya, kijana hana heshima kabisa.
Ujue mimi kama mtu ambaye nilishafanya ajira pia huwa najaribu kumtazama kijana kama mdogo angu ambaye anatafuta maisha na hili hunifanya kusita kuchukua hatua za haraka kimaamuzi nikiwa namatumain huemda ata change ila wapi!!.
IKabid niende hatua ya mbali zaid kwa kuongea nae kibiashara zaidi. Hii siku nikamuita nje ya ofisi.
Wakuu huyu dogo sio ndugu yangu, sio jirani yangu, simjui hata ndugu yake mmoja, hapa tuko kikazi tu.
Nisaidieni, kwa haya yooote nimefanya, kuna kipi ambacho sijatimiza wajibu?
UNAWEZA KUJIULIZA KWANINI NIMEFANYA YOOTE HAYA?
Jibu ni simple kabisa, HIKI NDICHO NILIFANYIWA PIA japo mimi sikufika mbali hiv. Ajira yangu baada ya kutoka chuo, nilikua sijui chochote kuhusu kazi. Nakumbuka boss wangu ali dedicate sana muda wake kujifunza kuhsu kaz na majukumu maana hata mimi nilianza kufanya kazi kwenye kampuni ikiwa ndogo sana mpka inakua kubwa kufikia hatua ya kufanya total project sum ya 1B kwa mwaka by that time, toka 150M total project kwa mwaka wakati mimi ndio naingia hapo ofisin, kampuni ikiwa na boss na muhasibu tu.
Boss ndio kila kitu. So nilipoingia mimi cheap labour na degree yangu, boss alinifundisha sana sana sana kaz kwa moyo ili nimpunguzie majukum. That was 2014. Tofauti yangu na huyu dogo ni kwamba, nilikua nazingatia sana mafunzo.
Sasa hii ndio imenifanya kumvumilia kipindi hiki chote lakin kwasasa wakuu nahisi nimefika tamati.
Kwakua yuko kwenye mfungo wa Ramadhani, nime plan nitamuacha mpaka mwez wa Ramadhani uishe kisha nitam expell,
Nitamuondoa kazini, kuangalia namna nyingine.
Nakaribisha ushauri.
Wasalaam.
Heri ya Kwaresma kwa ndugu zangu wakristo.
Ramadham Kareem kwa ndugu zangu waislam.
Kama ilivyo kwa wengi, katika harakati za upambanaji unajikuta una team up na wadau kadhaa katika kujaribu kuona ni namna gani mnaweza mkayafikia malengo kwa ukubwa, haraka na unafuu. BAsi na mimi ni mmoja wapo.
Nafanya biashara ya kuuza huduma. Nilianza alone lakin baada ya muda nikaona ni wakati muafaka kuongeza nguvu kazi tusaidiane majukumu. Nikapata kijana ambaye yeye kazi yake kama alivyoji profile ni Sales person. Nikamchukua nikamuweka ofisini tuanze maisha ya kushirikiana majukumu.
Alikua anafanya kaz kwenye moja ya miradi maarufu tu inayoendelea hapa jijini Dar es salaam, project ya wachina. Baada ya ku discuss terms na conditions tukaanza kazi. Tulikubaliana kuwa ni jukumu langu;
- Kumuwezesha vitendea kazi
- Nauli kila siku akiwa sokoni
- Mshahara kwa mwezi
- Commission (kubwa sana)
- Bonus /nyogeza ya mshahara kulingana na anavyo perform majukum na kwakua sales is about numbers so iko waz anaweza kabisa aka predict baada ya muda gani atakua na nyongeza kiasi gani
- Mawasiliano
- Target (ndogo sana ya kupata maximum 2 sales per month - 30 days)
- Ku submit report (daily and weekly), nk.
Sasa kiasili, mimi sio wale watu ambao ni "Bossy type" japo nina u serious wangu wa kutosha tu. Napenda sana as long as work is involvesld, kuwa karibu na team players wangu. Kwakifupi huwa si entertain gap between me and my guys (ninao wa 4, office admin, tech assistant, sales guy na mmoja ambaye ni oversea sio office based).
Sasa baada ya muda kupita naona kijana amekua haeleweki na performance yake honestly hainiridhishi kabisaaa and inside my heart am deeply dissapointed amd am really thinkimg of what to do.
Kijana wa sales
- Ja meet target. Yan ni 0%
- mchelewaji ofisini
- Hapokei simu hata iweje na anajua simu zangu ni strictly ni za kazi, ukitaka kuwasilana nae ni text tu kama yuko nje ya ofisi
- Hatoi taarifa kama atachelewa, kwakifupi anaweza ondoka leo jion kaniacha ofisin (maana ninkawaida yangu kufanya kaz mpaka late hours) na akaja kesho akanikuta (ni kawaida yangu saa 12 asubh niko ofisni) , na hapo yeye kaja kachelewa but hakuna maelezo anakupa, ofcz huwa siulizi.
- Hatumi report za kazi, kuna time nakua na kaz nje ya ofisi au nje ya Dar hata kwa week 1, hivyo hatuonani lakin hutaona report mpaka upige kelele kwamba nataka report.
- Na unapokua mkali (kitu ambacho sikipend japo nakiweza) , basi dogo sio muoga kabisaa anabishana na wewe kana kwamba wewe ni mtoto au mfanyakazi mwenzie tu, huna la kumwambia.
Nimeshafanya juhudi sana za kujaribu kumsaidia nijue anashindwa wapi kufanya kaz akapata wateja, nampa maelezo na maelezo na maelezo lakin wapi.
Nilipoona labda maelezo hayatoshi nikaamua kufanya kwa vitendo ili aone kwamba haya ninayomueleza sio tu naongea toka hewan, yanafanyika ndio maana namsisitiza afanye hivyo.
Nikawa natenga siku 3 kila week naingia sokoni kufanya marketing, mpaka mwez unaisha mimi nikifeli sana naimgiza wateja wawil lakin huwa namba inasoma mpaka 3 au 4 sometimes. Yeye hana anacholeta ofisin zaid ya stori na maelezo.
Nikaona bado labda message yangu hajaipata vizuri, nikabadil utaratibu, badala ya kwenda sokoni /marketing kivyangu na yeye kivyake ,nikaamua kwamba acha tushiriki pamoja. So nika mwambia kila unapokwenda kwa mteja wako kama una meeting, nijulishe twende pamoja.
Lengo hapa nilitaka kujua na kuona, ana engage vipi, nijue pa kumrekebisha, na pia nikataka nimfanya ANIONE MIMI the way na engage na hao hao watu wake ili ajifunze.
Mwisho wa siku nikienda nae marketimg, tunapata sales na tukirud ofisn naendelea kumpa shule na mambo mengine ili ajue namna ya ku improve.
UKUMBUKE HAPO MIMI SIO SALES PERSON BY PROFFESION, am purely a technical person. ni mtaa tu na harakat za ujasriamali zinanibidiisha kujifunza mambo mengi nisije kufa njaa.
Wakuu, nimefanya yooooote hayo lakin wapi!!!! Bila bila Na kitu kinacho ni irritate zaidi ni lack of morals kwake, hiv sasa naona hali inazid kuwa mbaya, kijana hana heshima kabisa.
Ujue mimi kama mtu ambaye nilishafanya ajira pia huwa najaribu kumtazama kijana kama mdogo angu ambaye anatafuta maisha na hili hunifanya kusita kuchukua hatua za haraka kimaamuzi nikiwa namatumain huemda ata change ila wapi!!.
IKabid niende hatua ya mbali zaid kwa kuongea nae kibiashara zaidi. Hii siku nikamuita nje ya ofisi.
- Nikamueleza ni muda kiasi gani yupo hapa ofisin kwangu
- Nikamkumbusha ni mshahara kias gani namlipa
- Nikamuonyesha record za ni gharama kiasi gani ambazo nazi invest kwake katika masuala ya kazi nje ya mshahara.
- Nikamuonyesha statements za bank ni jinsi gani income yetu as a companya ima flow
- Nikamuuliza kwa hii comparison mdogo angu umafikiri hii pesa nayolulopa kama salary na marketing transport na ofisin unakula lunch na internet za bure, UNADHAN HIZ COSTS mimi nazi recover vipi kama wewe huna unachoingiza katika mzunguko? HANA MAJIBU.
Wakuu huyu dogo sio ndugu yangu, sio jirani yangu, simjui hata ndugu yake mmoja, hapa tuko kikazi tu.
Nisaidieni, kwa haya yooote nimefanya, kuna kipi ambacho sijatimiza wajibu?
UNAWEZA KUJIULIZA KWANINI NIMEFANYA YOOTE HAYA?
Jibu ni simple kabisa, HIKI NDICHO NILIFANYIWA PIA japo mimi sikufika mbali hiv. Ajira yangu baada ya kutoka chuo, nilikua sijui chochote kuhusu kazi. Nakumbuka boss wangu ali dedicate sana muda wake kujifunza kuhsu kaz na majukumu maana hata mimi nilianza kufanya kazi kwenye kampuni ikiwa ndogo sana mpka inakua kubwa kufikia hatua ya kufanya total project sum ya 1B kwa mwaka by that time, toka 150M total project kwa mwaka wakati mimi ndio naingia hapo ofisin, kampuni ikiwa na boss na muhasibu tu.
Boss ndio kila kitu. So nilipoingia mimi cheap labour na degree yangu, boss alinifundisha sana sana sana kaz kwa moyo ili nimpunguzie majukum. That was 2014. Tofauti yangu na huyu dogo ni kwamba, nilikua nazingatia sana mafunzo.
Sasa hii ndio imenifanya kumvumilia kipindi hiki chote lakin kwasasa wakuu nahisi nimefika tamati.
Kwakua yuko kwenye mfungo wa Ramadhani, nime plan nitamuacha mpaka mwez wa Ramadhani uishe kisha nitam expell,
Nitamuondoa kazini, kuangalia namna nyingine.
Nakaribisha ushauri.
Wasalaam.