Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 14,069
- 30,115
Mzuka wanajamvi
Nipo hapa naandaa script ya movie bonge la movie ambayo itateka gumzo la kila mtu nchini. Jina la movie Muuza madafu encounter freedom.
Ni hivi. Inaanza magaidi kutoka msumbiji wanavuka mpaka nakuingia Tanzania. Kufanya ugaidi, mauaji na kuteka watanzania wasio na hatia.
Rais anaita baraza la dharura likiwemo na wana usalama kujadili ni jinsi gani mateka watakavyokolewa.
Makomando wanatumwa haraka Msumbiji . Badala yake wanakumbana na upinzani mkali wengi wao kufa na kuretreat.
Baada ya hili rais tena anaita baraza la usalama huku akiwa na hasira na kuwaambia sitakubali damu na uhai wa mtanzania yoyote iendelee kupotea nataka hawa watanzania waliotekwa pamoja na wanawake na watoto waokolewe mara moja na kurudishwa nchini salama kujumuika na familia zao.
Ndo hapo mwana usalama mmoja anaamka na kumuambia rais kuna mwamba flani mkakamavu aliamua kuacha kitengo kwa muda baada ya kufiwa na mke wake sasa hivi anauza madafu. Alikuwa chini ya batallion na command yangu DRC na Comoro ambapo tuliweza kupata ushindi mkubwa kupitia yeye jina lake John Black muuza madaf.
Rais anatoa amri nimewapa amri mkamtafute muende msumbiji mara moja.
John Black kama kawaida kwenye kijiwe chake akiuza madaf ghafla msafara wa magari ya Tiss na jeshi yanafika.
Wananchi wanashangaa kulikoni?
Makamanda wanashuka na kumsalimia John unahitajika kuna mishen muhimu inabidi uitekeleze achana na hayo madafu ingia kwenye Gari mara moja.
Itaendelea
Nipo hapa naandaa script ya movie bonge la movie ambayo itateka gumzo la kila mtu nchini. Jina la movie Muuza madafu encounter freedom.
Ni hivi. Inaanza magaidi kutoka msumbiji wanavuka mpaka nakuingia Tanzania. Kufanya ugaidi, mauaji na kuteka watanzania wasio na hatia.
Rais anaita baraza la dharura likiwemo na wana usalama kujadili ni jinsi gani mateka watakavyokolewa.
Makomando wanatumwa haraka Msumbiji . Badala yake wanakumbana na upinzani mkali wengi wao kufa na kuretreat.
Baada ya hili rais tena anaita baraza la usalama huku akiwa na hasira na kuwaambia sitakubali damu na uhai wa mtanzania yoyote iendelee kupotea nataka hawa watanzania waliotekwa pamoja na wanawake na watoto waokolewe mara moja na kurudishwa nchini salama kujumuika na familia zao.
Ndo hapo mwana usalama mmoja anaamka na kumuambia rais kuna mwamba flani mkakamavu aliamua kuacha kitengo kwa muda baada ya kufiwa na mke wake sasa hivi anauza madafu. Alikuwa chini ya batallion na command yangu DRC na Comoro ambapo tuliweza kupata ushindi mkubwa kupitia yeye jina lake John Black muuza madaf.
Rais anatoa amri nimewapa amri mkamtafute muende msumbiji mara moja.
John Black kama kawaida kwenye kijiwe chake akiuza madaf ghafla msafara wa magari ya Tiss na jeshi yanafika.
Wananchi wanashangaa kulikoni?
Makamanda wanashuka na kumsalimia John unahitajika kuna mishen muhimu inabidi uitekeleze achana na hayo madafu ingia kwenye Gari mara moja.
Itaendelea