Mzazi aliejikuta mzungu kumpa simu mtoto wa shule ya msingi yamtokea puani, Mtoto kaanza kucheki X na kujichua akiwa na miaka 8 tu

Ujue nimewaza kwamba au kwkaua mimi sina hela afu sijazaa au nmetokea familia ambayo haijaelika???
Yani hili swala zima la simu naona ni upumbavu mkubwa! Mtoto unampa simu ya nini? Na ya kwako anaichezea kivipi? Amekosa vya kuchezea??? Hivi ni malezi ama ulimbukeni? Mana sisi tumekulia mazingira bila simu na ilikua poa tu si saizi tunazo... Hivi wazazi wa sikuhizi wana wazimu gani
Usasa mwingi.

Kwanza kabisa unamnunulia mtoto simu ya nini??
Sometimes umuhimu hakuna kabisa ila basi tu kwakua baba na mama hawataki mtoto ashike simu zao basi nae hununuliwa.

Ajabu ni kua anaitumia atakavyo na mzazi hagusi simu ya mtoto.
 
Mtoto wangu wa miaka 9 hiko kimboo Cha kujichua sikioni Kwa mtoto wa miaka 8, kwangu huu Uzi una ukakasi
Wewe watoto wanatofautiana kuna wengine wadogo ila vidudu vyao vikubwa.

Kuna jirani yangu mtoto wake wa kiume alikuwa chekechea kabisa, siku moja akaniita nilimsindikiza hospital mtoto atailiwe, yesu kwa mara ya kwanza niliona mtoto mdogo wa vile ana dondolo kubwa yaani hadi aibu.

Wakati wa kumfanyia usafi alikuwa akinita nimsaidie kumshika miguu amfanyie usafi hadi nilijikuta nacheka alivyo mdogo, dudu sasa dah. Wewe acha kabisa watoto wanatofautiana.
 
Mtoto simu ni baada ya f4.
Mimi nilishika simu baada ya f6 mtoto anaanzaje kuwa na simu? Huo upuuzi siwezi uvumilia, asome hivyo hivyo.
 
Ujue nimewaza kwamba au kwkaua mimi sina hela afu sijazaa au nmetokea familia ambayo haijaelika???
Yani hili swala zima la simu naona ni upumbavu mkubwa! Mtoto unampa simu ya nini? Na ya kwako anaichezea kivipi? Amekosa vya kuchezea??? Hivi ni malezi ama ulimbukeni? Mana sisi tumekulia mazingira bila simu na ilikua poa tu si saizi tunazo... Hivi wazazi wa sikuhizi wana wazimu gani
Sometimes ukiwa na hela unatamani mwanao apate kila kitu anachohitaji, ila kwa upande mwingine unamharibu kwasababu wewe mwenyewe kummonitor huwezi.

Simu ina umuhimu kwa baadhi ya watoto lakini sio wote, kuna mazingira mtoto inabidi awe na simu hata kitochi tu, ila wengine ni kulazimishia tu.

Na nimeshuhudia baadhi ya famili ni kama mtoto analazimishwa tu kua na hizo simu maana muda nayo hana.
Nadhani wanapewa simu ili wasiwasumbue wazazi wao wakiwa wanachart na kuperuzi kwa sim zao.
 
Wewe watoto wanatofautiana kuna wengine wadogo ila vidudu vyao vikubwa.

Kuna jirani yangu mtoto wake wa kiume alikuwa chekechea kabisa, siku moja akaniita nilimsindikiza hospital mtoto atailiwe, yesu kwa mara ya kwanza niliona mtoto mdogo wa vile ana dondolo kubwa yaani hadi aibu.

Wakati wa kumfanyia usafi alikuwa akinita nimsaidie kumshika miguu amfanyie usafi hadi nilijikuta nacheka alivyo mdogo, dudu sasa dah. Wewe acha kabisa watoto wanatofautiana.
Kwa hiyo unaamini mtoto wa umri huo anajichua kumwaga shahawa?
 
Nyie mnasema mnampa sijui Ipad sijui Kitochi mimi hata KISWASWADU simpi kwani usipompa atakufa michezo atacheza na wenzake na games ntamunulia matoy na SUDOKU/PUZZLE kwa ajili ya kukuza uelewa hayo mengine acha niwaachieni nyie wazazi wa dotcom
 
Wewe watoto wanatofautiana kuna wengine wadogo ila vidudu vyao vikubwa.

Kuna jirani yangu mtoto wake wa kiume alikuwa chekechea kabisa, siku moja akaniita nilimsindikiza hospital mtoto atailiwe, yesu kwa mara ya kwanza niliona mtoto mdogo wa vile ana dondolo kubwa yaani hadi aibu.

Wakati wa kumfanyia usafi alikuwa akinita nimsaidie kumshika miguu amfanyie usafi hadi nilijikuta nacheka alivyo mdogo, dudu sasa dah. Wewe acha kabisa watoto wanatofautiana.
Huyo mtoto ni Mimi 😂😂😂
 
Muhimu: wanaodhani mtoto wa miaka 8 hawezi kujihusisha na ngono basi niwaelimishe kwamba haya mambo yapo tangu zamani mashuleni, mitaani, n.k. !! tofauti yao ni kwamba viungo vyao havijakomaa.

Niliwahi kumshauri huyu mzazi kwamba uwezo wake kiuchumi wa kuweza kufunga wifi nyumbani na kuweza kumnunulia mtoto simu, sio kigezo cha kumwachia mtoto uhuru kwenye ulimwengu wa kidijitali.

Watoto wana uwezo mkubwa sana kujifunza vitu tusiwabeze, Fast forward mtoto alianza kuchimba chimba huko mitandaoni mpaka kujua kutumia vpn

Wazazi wake wanamkuta mtoto akijichua huku anaangalia hizo x kwenye simu, kufatilia zaidi mwalimu wake ni simu na internet.

Kumpa mtoto simu siyo jambo baya ila tuzingatie haya ::

  • Unapompa mtoto simu hakikisha wewe uwe admin wa simu kisha unamsetia restricted mode / parental control mode /kids mode, hii inasaidia kuzuia access ya mambo ya kikubwa pia asishinde sana kwenye simu.
  • Mnunulie mtoto wako kitochi, ni simu zisizo na mambo mengi ila mnaweza kuwasiliana, kujua alipo, n.k.
  • hakikisha humwachii mtoto simu yenye bundle / data, download vitu anavyopenda, mwekee muvi / latuni / games anazopenda.


Huwezi mpa mtoto smart phone before 18
 
Mtoto wangu wa miaka 9 hiko kimboo Cha kujichua sikioni Kwa mtoto wa miaka 8, kwangu huu Uzi una ukakasi
Inafikirisha sana kama kweli unaye huyo mtoto.
Tatizo ninaloliona kwa mnao bishana na mtoa uzi ni kusudi la kujichua.

Mtoto kama ni rijali lazima mnala usome 5G wakati akiwa kwenye hizo harakati,sasa habari za kutoa manii mara damu yeye hayo hayamhusu na kwanza hajui wanaojamiiana huwa wanatafuta nini ila baadae hiyo tabia itakomaa na kuwa sugu mpaka wakati ambao atakuwa na uwezo wa kutoa hizo manii ndipo atajua ni kwa nini aliona videos zile.
 
Mnaouliza maswali sijui kumwaga mikojo,damu mara nini wooote hamsitahili na hamtasitahili kuwa wazazi wala walezi.

Kama mnamfahamu mnyama aitwaye KOBE basi ninyi mna tabia za KOBE.
Kobe haongozani na mtoto hata akiwa na umri wa masaa mawili.

Mtoto wa kiume hata akiwa na umri wa juma moja kama ni mzima kiafya lazima mnara unasoma 5G kwa nyakati flani.

Sasa anapofikisha miezi kadhaa kila asubuhi ama abanwapo na mkojo lazima mnara usome na hapa ndio wakati wa kutambua ikiwa mtoto wako hana tatizo la kuja kutafuta matibabu.

Sasa kwa umri wa miaka 8 ni lazima mtoto wa umri huu anasoma,anakutana na wenzie wanaotokea familia tofauti na zenye malezi tofauti kwa hiyo masimulizi ya pande zote yanakuwepo.

Amepata simu na hizo videos,akafungua,ile kuona akapata hisia na akajaribu kufanya alichowahi kusikia,anaendelea kufanya bila kujua ni kwa nini anafanya,sasa wewe unakuja na maswali yako ya kitoto eti anatoa nini utadhani ulishamfundisha nini kinatakiwa kitokee.

Nikiwa ni mpangaji wa nyumba ambayo nilikuwa ninaishi na wenye nyumba ambao ni wazazi wa watoto wawili wa kike miaka 8 na 2 wazazi ambao siyo walezi wakati huo na mimi mzazi mlezi nina vidume vi 3 miaka 7,6 na 2.

Hawa wa 7 na 6 wakiwa std 1 sawa na yule wa mwenye nyumba lkn shule tofauti ijapo huyu wa kike tayari alikuwa jkt.

Siku moja mimi niliwahi kutoka kazini,vijana wangu walivyotoa shule wakaingia bafuni kuoga ila mara hii wakachelewa kutoka. Mimi nikawa ninahitaji wakimaliza kula wanioneshe kazi zao ili tukae niwafundishe.

Sasa ile ninatoka ndani siwaoni,niaenda nje naona kandambili za huyo binti nazo ziko mlango wa kuingilia bafuni,nikwaza,huyu mtoto ni mtaalamu wa hizi kazi halafu yuko waliko vijana wangu!

Nikawauliza ni kwa nini leo wamechelewa kumaliza kuoga,vijana wangu wakatoka nadhani walikuwa wamepangishwa msululu maana wote walitoka minara inasoma 5G.

Nikaendelea kusimama mlangoni hapohapo,kimbembe kikaja namna ya huyo mtoto kutoka bafuni maana hakuwa ameenda kuoga,hakuwa na chombo cha maji na wala wao walikuwa hawatumii bafu lile.

Baada ya kama dakika 8 aliamua kutoka kwa aibu.
Nilimgombeza tu na kumkanya asiwafundishe vijana wangu tabia mbaya na aache tabia za kuwazoea wanangu.

Si unajua kwa miaka kadhaa mtoto wa mwenzio siyo wako,ukimkanya utaamkia polisi,basi niabaki ninawakanya vijana wangu.

Binafisi nawaomba muache maswali ya kitoto mkidhani yatawasaidia wazazi wenye tabia za mnyama KOBE, iwe mtoa mada alichokisema amekishuhudia,amekisikia,kipo ama hakipo.
 
Juzi nimekuta katoto ka miaka kama 10 kamevaa earpods kana peruzi instagrams!! Zamani nilikuwa nadhani kizazi cha mbele kinakuwa bora zaidi ya kilichopita, siku hizi nimegundua kuwa sivyo hata kidogo, decivilization ni kitu real.
 
Ujue nimewaza kwamba au kwkaua mimi sina hela afu sijazaa au nmetokea familia ambayo haijaelika???
Yani hili swala zima la simu naona ni upumbavu mkubwa! Mtoto unampa simu ya nini? Na ya kwako anaichezea kivipi? Amekosa vya kuchezea??? Hivi ni malezi ama ulimbukeni? Mana sisi tumekulia mazingira bila simu na ilikua poa tu si saizi tunazo... Hivi wazazi wa sikuhizi wana wazimu gani
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    8.5 KB · Views: 3
Back
Top Bottom