Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,702
- 19,818
Najiuliza Kama kipindi hicho angekuwa na Maono ya Hawa machawa sijui angesemaje - Sababu Kama Mjinga akiambiwa / akijifunza anaelewa;
Na Mpumbavu ni Kipaji yeye anabisha tu na akiambiwa haelewi nadhani ni Bora kuliko anayejua lakini anaendelea kufanya anchofanya huku akijua kina walakini (nadhani tumbo lake linatawala kichwa chake)
By the way Mdau hapo chini Jasmoni Tegga (amesema kwamba Nyerere alimaanisha Kifaji na sio Kipaji kama wengi tulivyokuwa tunafikiri - Mimi ili nisiwe mpumbavu na nilikuwa Mjinga nalichukua hilo na kulifanyia Kazi....