Mwigulu Nchemba: Hakuna mwananchi atakayelipa mkopo, Serikali italipa

Mchumi, Dr katika ubora wake na siasa. Kwa hiyo serikali inachapisha pesa za kulipia madeni?? Maajabu ya dunia haya.
 
Madame president SSH hebu pita mbio na huyo mchumia tumbo hapo wizara ya fedha anayejiita Dr wa uchumi!
Anakuharibia mno na kukuchoresha Kwa wapigakura wako na huenda Ile hamu yake ya kuchora mawe haijamwisha Bado!
Mwanzoni aliwaambia wapigakura wako waliokuwa na mashaka na tozo za Zungu kuwa wahamie Burundi Kama hawakubaliani na kuleta sintofahamu ya kidiplomasia ukamnyamazia! Hili la jana kwamba serikali itajilipia mikopo yake maanake ni Nini? Yaani hajui maana ya serikali? Au alimaanisha mamlaka (authority) badala ya serikali (government) ambayo ni wananchi?
Tafadhali mrejeshe mtaani akayaandike mawe Yale vizuri ili mkutane 2025! Hakusaidii zaidi Sana anakuharibia!
Mwigulu ni mmoja ya mawaziri wasiofaa kuongoza wizara yoyote! Mtimue haraka Sana!
 
Hoja yake ni ya kijinga sana. Hajui kwamba sisi wananchi mmoja mmoja ndio wazalishaji na ndio tunaunda hiyo serikali?!
 
Ni kweli kwamba mwananchi hatadaiwa yeye binafsi.
Hata hivyo, serikali ya wananchi italazimika kulipa na hivyo kutumia pesa ambazo ingezitumia kwa ajili ya huduma kwa wananchi. Hii Ina maana kwamba wananchi watalipa kwa kukosa huduma ambayo serikali haitawaeza kuitoa wa sababu ya kulipa madeni.
Kwani hiyo pesa ya mkopo haijatumika kutoa huduma kwa mwananchi? Kilichofanyika mwananchi amepata huduma mapema, pesa inalipwa baadae.
 
Anamaanisha hakuna pesa ya ziada itakayowekwa kwa mwananchi kwa ajili ya kulipa mkopo zaidi ya makusanyo ya tozo na kodi zilizopo, misaada na michango. Kwa ufupi mapato ya serikali.
Kodi ni malipo ya lazima iwe serikali imekopa au haijakopa. Ndiyo sababu anasema serikali italipa. Kutoka kwenye fungu lake bila mwananchi kuguswa moja kwa moja. Kuna impact and incidence of loan repayment.
 
unafikiri Kwa kutumia ubongo au matako wewe jamaa,una ujinga mkubwa sana
Narudia wewe ni hopeless na nafikiri wewe ndie huyo taahira mwenye PhD Madelu
Serikali italipa Kwa Pesa ilizochimba ardhini au?
Inaonesha jinsi Gani ulivyo juha hapa jamvini
Napendekeza mkeo awatafutie watoto baba mwenye akili timamu kuliko kua na mume mbumbumbu kama wewe
Shame!
Hivi ukidaiwa deni ukalipa. Matumizi ya lile deni yanakuhusu tena? Maana kodi ni malipo ya lazima kutoka kwa mwananchi kwenda serikalini kuwa na deni au kusiwe na deni. Ndiyo maana amesema serikali italipa. Kisha inasahaulika kuwa pesa ya hilo deni imefanya shughuli za maendeleo. Kikubwa ni chuki na waziri.
 
Hivi ukidaiwa deni ukalipa. Matumizi ya lile deni yanakuhusu tena? Maana kodi ni malipo ya lazima kutoka kwa mwananchi kwenda serikalini kuwa na deni au kusiwe na deni. Ndiyo maana amesema serikali italipa. Kisha inasahaulika kuwa pesa ya hilo deni imefanya shughuli za maendeleo. Kikubwa ni chuki na waziri.
Hiiiiii bha ghoshaaa!
Naona mke wa waziri umekuja kumtetea bwana Yako Madelu,
Kwa hiyo aliposema Hilo deni haliwahusu wananchi na Serikali italipa alikua na maana Gani?
Tunacho Pinga hapa ni kauli ya bwana waziri kua hizo pesa italipa serikali na hapo ukweli unajulikana ni mzigo wa Kodi kutoka Kwa wananchi ndio utatumika kulipa Hilo deni via Government!
Usitufanye majuha!
 
"Hakuna siku Mtanzania mmojammoja atagongewa hodi mlangoni kwamba tunakudai Shillingi hizi kwasababu Nchi yako ilikopa, haipo Nchi hiyo, hivi ni vitu vya Kitaasisi na vinaangaliwa kutoka kwenye mapato ya Kiserikali"

"Hakuna siku Mtanzania atafuatwa aambiwe wewe una ng'ombe wengi sana toa mmoja tulipie deni la Taifa haipo siku hiyo, inalipiwa kwenye mapato ya Serikali"——— Waziri wa Fedha na Mipango, Dr. Mwigulu Nchemba mbele ya Rais Samia Ikulu,Dar es alaam leo.

My Take
Nchi yangu ina bahati mbaya kuwa na mawaziri "cheap" kiasi hiki. Hivi hizi kodi tunazolipa si ni zaidi ya hodi?
Hii nchi sijui tuna laana gani! Mtu mjinga kiasi hiki naye eti ni Waziri!

Hajui mpaka sasa hivi, kila mtanzania, mpaka wanafunzi wamekwishagongewa milango yao ili kulipa deni la nchi ambalo halikuwa na manufaa kwao.

Ka siyo hayo madeni, wananchi wangelazimishwa kulipa tozo za miala, toz9 za mafuta, wakati tayari wanalipa kodi nyingi lukuki.

Hakika kwa kauli hii, ni dhahiri tuna mawaziri ni wajinga bao hawakustahili hata kuwa watendaji wa viiji.
 
Bila ya shaka hapa Mh kuna kundi analolilenga na huu ujumbe...na si Watanzania wote.
 
"Hakuna siku Mtanzania mmojammoja atagongewa hodi mlangoni kwamba tunakudai Shillingi hizi kwasababu Nchi yako ilikopa, haipo Nchi hiyo, hivi ni vitu vya Kitaasisi na vinaangaliwa kutoka kwenye mapato ya Kiserikali"

"Hakuna siku Mtanzania atafuatwa aambiwe wewe una ng'ombe wengi sana toa mmoja tulipie deni la Taifa haipo siku hiyo, inalipiwa kwenye mapato ya Serikali"——— Waziri wa Fedha na Mipango, Dr. Mwigulu Nchemba mbele ya Rais Samia Ikulu,Dar es alaam leo.

My Take
Nchi yangu ina bahati mbaya kuwa na mawaziri "cheap" kiasi hiki. Hivi hizi kodi tunazolipa si ni zaidi ya hodi?
Tanzania tunaombwe kubwa la Viongozi wasio jitambua na wanatakiwa wafanye nini kwa Nchi. Hivi kwa akili ndogo kabisa.....unaposema Serikali italipa...hiyo Serikali inatoa wapi fedha? Serikali inafanya Biashara gani ipate hayo ma trilioni ya kulipa?

Serikali always inategemea kodi, na je hiyo Kodi inalipwa na nani? Tufike mahali hawa viongozi wasiote mapembe, "tuheshimiane". Raia wanafahamu vitu vingi tu si kwamba ni hohehae....ndio maana kila siku iendayo kwa Mungu..hakuna mtu anaenda Wizara ya fedha kwenda kuomba pesa ya chakula. Lakini watu wanaishi, wanasomesha, na wanajikwamua kwa mambo yao mengi tu.

Ni vyema viongozi wetu kujipima na kauli zao kabla ya kwenda hewani...mnawapotezea watu muda wao.
 
"Hakuna siku Mtanzania mmojammoja atagongewa hodi mlangoni kwamba tunakudai Shillingi hizi kwasababu Nchi yako ilikopa, haipo Nchi hiyo, hivi ni vitu vya Kitaasisi na vinaangaliwa kutoka kwenye mapato ya Kiserikali"

"Hakuna siku Mtanzania atafuatwa aambiwe wewe una ng'ombe wengi sana toa mmoja tulipie deni la Taifa haipo siku hiyo, inalipiwa kwenye mapato ya Serikali"——— Waziri wa Fedha na Mipango, Dr. Mwigulu Nchemba mbele ya Rais Samia Ikulu,Dar es alaam leo.

My Take
Nchi yangu ina bahati mbaya kuwa na mawaziri "cheap" kiasi hiki. Hivi hizi kodi tunazolipa si ni zaidi ya hodi?
Mapato ya serikali ni kodi za wananichi.
Kama sehemu kubwa ya makusanyo ya kodi yatatumika kulipia madeni ya mikopo huduma za kijamii, elimu, afya, barabara na miradi mipya ya maendeleo haitapata fedha za kutosha. Kwa sabubu huduma za kijamii kama afaya , elimu, n.k ni mambo ya muhimu na ya msingi itabidi wananchi wauze hata ngombe wao au ardhi zao ili kulipia huduma hizo. Kwa kufanya hivyo ni sawa na wananichi kulipia deni la Taifa indirectly toka mifukoni kwao
 
"Hakuna siku Mtanzania mmojammoja atagongewa hodi mlangoni kwamba tunakudai Shillingi hizi kwasababu Nchi yako ilikopa, haipo Nchi hiyo, hivi ni vitu vya Kitaasisi na vinaangaliwa kutoka kwenye mapato ya Kiserikali"

"Hakuna siku Mtanzania atafuatwa aambiwe wewe una ng'ombe wengi sana toa mmoja tulipie deni la Taifa haipo siku hiyo, inalipiwa kwenye mapato ya Serikali"——— Waziri wa Fedha na Mipango, Dr. Mwigulu Nchemba mbele ya Rais Samia Ikulu,Dar es alaam leo.

My Take
Nchi yangu ina bahati mbaya kuwa na mawaziri "cheap" kiasi hiki. Hivi hizi kodi tunazolipa si ni zaidi ya hodi?
Tutagongewa through TAX, Serikali ni nini? what is the primary source of income ya serikali yoyote? ni mchumi huyu!
 
Hizo pesa za kulipa hiyo mikopo zinatoka wapi kama sio kwenye kodi wanazokatwa wananchi?

Huu ndio mfano wa kundi kubwa la waganga njaa lililopo nyuma ya Samia analoringa nalo.
Kuna asilimia kubwa ya watanzania ambao hukamatwa kwa lugha hii na wanasiasa wanajua hilo. Mwendazake pia aliwakamata watanzania wengi kwa sababu ya uelewa mdogo. Ni wachache sana wanaoelewa kama wewe. Acha hawa wanasiasa wawaburuze watanzania, kwa sababu wakitokea watu wachache kujaribu kuwaelewesha, wanaaminishwa na wanasiasa wajanja kwamba ni wasaliti na wengine wanapewa kesi za ugaidi na watanzania wanaamini.
 
Hiiiiii bha ghoshaaa!
Naona mke wa waziri umekuja kumtetea bwana Yako Madelu,
Kwa hiyo aliposema Hilo deni haliwahusu wananchi na Serikali italipa alikua na maana Gani?
Tunacho Pinga hapa ni kauli ya bwana waziri kua hizo pesa italipa serikali na hapo ukweli unajulikana ni mzigo wa Kodi kutoka Kwa wananchi ndio utatumika kulipa Hilo deni via Government!
Usitufanye majuha!
Ndiyo serikali inalipa kutoka katika mapato yake. Ikiwepo na kodi ambayo wakati wa kuitoa hauambiwi kuwa inaenda kulipa deni. Ingekuwa unaambiwa matumizi ya kodi yako kabla ya kulipa hapo sawa. Angesema wananchi watalipa. Kilichofanyika ni kuharakisha huduma kwa kuchukua mkopo rahisi na kupeleka katika miradi ya maendeleo. Lakini wewe unachukulia kama vile mkopo umetumiwa kununulia Vieitee. Haujaenda kwa wananchi.
 
Ni nchini Tanzania pekee ambapo Waziri anaweza kutamka kauli ma.vi kama hii akaachwa. Nchini Kenya na nchi nyingine ambazo wananchi wake wanajitambua huwezi kusikia kauli za kijuha kama hii.
 
Back
Top Bottom