Mwigulu: Cement bei juu kwa sababu ya vita ya Ukraine na Urusi

Jibu hoja hapo juu maana naona umekurupuka hata hujamsikiliza Waziri..

Vita imekuwa catalyst kwenye bei zilizoongezeka coz of covid 19, mbona mnakuwa vilaza hivyo?
Sijaona hoja yoyote uliyotoa. Weka na wewe ushahidi kuonesha kwamba vita ni catalyst ya kupandisha Bei. Unachanganya bei ya mafuta na Bei za bidhaa nyengine kama mbolea, mafuta ya kula, vifaa vya ujenzi ambavyo vilipanda tangu October mwaka jana. Una justify vipi issue yako ya Ukraine?
 
Sijaona hoja yoyote uliyotoa. Weka na wewe ushahidi kuonesha kwamba vita ni catalyst ya kupandisha Bei. Unachanganya bei ya mafuta na Bei za bidhaa nyengine kama mbolea, mafuta ya kula, vifaa vya ujenzi ambavyo vilipanda tangu October mwaka jana. Una justify vipi issue yako ya Ukraine?
Aisee kweli kuna Kazi unakuta na wewe ni msomi unataka serikali ikuajiri uwe think tank 😆😆😆😆😄😄
 
Ni kweli kasema hayo!??! Au mnamlisha maneno bwana fedha. Nijuavyo cement na nondo zimeanza kupanda bei kitambo sana. Lakini pia ingridients zinazotumika kuzalisha cement kwa sehemu kubwa zinapatikana hapa hapa Tanzania!!! Au kuna mambo mi sijui?!?
Uko sahihi kabisa, huyu waziri wa fedha hafai kabisa ni aibu kwa nchi ! Viwanda vya cement vinatumia mali ghafi nyingi zipatikanazo nchini zikiwa no kutumia gesi badala ya umeme kwenye hivyo viwanda! Sasa huyo Mwigulu atuambie kwa mfano kiwanda cha Twiga Cement kina agiza mali ghafi gani toka Ukraine hata bei ya bidhaa zake zipande bei kiholela?
 
University of Dar es Salaam ilitamba sana kutoa watu makini na wataalam bora kabisa!
Sasa sijui kwanini tumekuwa na wasomi viongozi waongo na wabinafsi,
Eti utaona kiongozi na ni Professor kabisa anatoa maoni au ushauri kwa kujipendekeza pendekeza!
Nashauri UDSM kifungwe kabisa, hakina manufaa yoyote
 
Aisee kweli kuna Kazi unakuta na wewe ni msomi unataka serikali ikuajiri uwe think tank 😆😆😆😆😄😄
Usicheke cheke jibu hoja viwanda vya cement vinaiport mali ghafi gani toka Ukraine to justify price increases? Remember kuna viwanda vya cement vinatumia gesi ya hapa hapa nchini!
 
Hawa ndio Wachumi wetu viongozi,ATI mtu anauliza kwanini TANZANIA NI MASKINI! Tunaviongozi wenye uwezo duni kichwani .
 
This is too much. Kuna mali ghafi gani ya cementi inayotoka nje? Au umeme? Huku ni kututukana.
 

"...gharama za cement zimeendelea kupanda kila mara na hilo la vita ya Ukraine na Urusi ndilo limeongeza changamoto ya kupanda kwa bei..."

"...nimewataka wadau waone namna bora ya kupunguza gharama kupanda mara kwa mara kwa maslahi ya wananchi wetu."

Amesema Mwigulu.

Nb: Tanga cement na Dangote cement si mhamishie viwanda vyenu Tanzania ili bei ya cement ipungue?!
Hii serikali iko arrogant kweli.
 
Back
Top Bottom