Mwanzo: Katika kubariki nitakubariki, na uzao wako utamiliki mlango wa adui zao; na kwako watatoka watawala!

Nsanzagee

JF-Expert Member
Jun 28, 2023
2,057
4,349
Biblia siyo maneno ya hadithi pekee.

Ni Neno la kweli na lenye pumzi ya Mungu!

Tangu kuwapo kwa ahadi hizo kwa Ibrahimu mpaka leo na hadi kiama, bado Neno la Mungu limeendelea kuthibitisha hayo.

Ahadi hizo, ni kwa wazao wa baba wa Imani Ibrahimu na wafuasi wa kweli wa huyu Mungu JEHOVAH.

Kwa ahadi hiyo, mataifa yenye kuitawala Dunia, yataendelea kuwa yale yaliyochini ya ahadi hiyo milele.

Mtu asipotawaliwa na USA, basi Urus, ujeruman, Italy na hata Brazili au kokote ambako jina la Yesu linatajwa!

Zaidi ya hapo! Tuendeleeni kusubiri kiama kije.
 
Kuna dini inajifanya iko humble sana, na kwamba haina hulka ya kuonea wala kutawala watu, kumbe ukweli ni kwamba tu haina hiyo nguvu na haijapata tu nafasi

Siku ikipata nafasi ndio dunia itajua kumbe dini hii inayotawala sasa ilikuwa inacheza tu, maana hata ukweli unajieleza kwenye historia yetu waafrika, kwamba hata wao waliwahi kufanya biashara za watumwa huku kwetu na ni makatili vile vile

Hapo ilipo inatamani dini zote duniani zifutike ibaki yenyewe tu ili itawale vizuri tofauti na hii inayotawala sasa ambayo imeacha uhuru wa kila jamii kubaki na dini yake, ila kwa bahati mbaya imechelewa maana vizazi vya sasa na vinavyokuja vimeanza kuamka, na taratibu vimeanza kujitoa kwenye huu upumbavu wa kutawaliwa na dini fulani so havitakubali
 
Hao watawala wa ahadi itikadi za kulazimisha ushoga uenee kwa nguvu hapa Duniani wamezitolea wapi?,kwanini awafati maandiko wanamapambio ya kishetani sambamba na matendo yao!
 
Biblia siyo maneno ya hadithi pekee

Ni Neno la kweli na lenye pumzi ya Mungu!

Tangu kuwapo kwa ahadi hizo kwa Ibrahimu mpaka leo na hadi kiama, bado Neno la Mungu limeendelea kuthibitisha hayo!

Ahadi hizo, ni kwa wazao wa baba wa Imani Ibrahimu na wafuasi wa kweli wa huyu Mungu JEHOVAH

Kwa ahadi hiyo, mataifa yenye kuitawala Dunia, yataendelea kuwa yale yaliyochini ya ahadi hiyo milele

Mtu asipotawaliwa na USA, basi Urus, ujeruman, Italy na hata Brazili au kokote ambako jina la Yesu linatajwa!

Zaidi ya hapo! Tuendeleeni kusubiri kiama kije!
Mara Ibrahim Mara yesu,mbona hueleweki!?
 
Hao watawala wa ahadi itikadi za kulazimisha ushoga uenee kwa nguvu hapa Duniani wamezitolea wapi?,kwanini awafati maandiko wanamapambio ya kishetani sambamba na matendo yao!
Ukifuasa mashinikizo yao, unakuwa mpumbavu,

Tii amri za Mungu usiige ya wajinga na wewe kuwa mjinga!
 
Kuna dini inajifanya iko humble sana, na kwamba haina hulka ya kuonea wala kutawala watu, kumbe ukweli ni kwamba tu haina hiyo nguvu na haijapata tu nafasi

Siku ikipata nafasi ndio dunia itajua kumbe dini hii inayotawala sasa ilikuwa inacheza tu, maana hata ukweli unajieleza kwenye historia yetu waafrika, kwamba hata wao waliwahi kufanya biashara za watumwa huku kwetu na ni makatili vile vile

Hapo ilipo inatamani dini zote duniani zifutike ibaki yenyewe tu ili itawale vizuri tofauti na hii inayotawala sasa ambayo imeacha uhuru wa kila jamii kubaki na dini yake, ila kwa bahati mbaya imechelewa maana vizazi vya sasa na vinavyokuja vimeanza kuamka, na taratibu vimeanza kujitoa kwenye huu upumbavu wa kutawaliwa na dini fulani so havitakubali
Biashara ya utumwa afrika ilianzishwa na ureno huko congo Karne ya 14,watumwa waliopelekwa ulaya na americasa ni million 14 wakati watumwa Africa mashariki ni laki nane tu,uislam ulishatawala Israel na ulaya, uislam ulipotawala Israel waisrael walikua wamefikuzwa na byzantine pamoja na kuuawa,wakarejeshwa Israel na kulindwa na waislam,soma Umar pact,Hispania waislam wametawala zaidi ya miaka 200,hawakuua mtu
 
Biashara ya utumwa afrika ilianzishwa na ureno huko congo Karne ya 14,watumwa waliopelekwa ulaya na americasa ni million 14 wakati watumwa Africa mashariki ni laki nane tu,uislam ulishatawala Israel na ulaya, uislam ulipotawala Israel waisrael walikua wamefikuzwa na byzantine pamoja na kuuawa,wakarejeshwa Israel na kulindwa na waislam,soma Umar pact,Hispania waislam wametawala zaidi ya miaka 200,hawakuua mtu
Vizuri

Kwa nini sasa wameamua kuwa maadui wa Mungu ambaye hapendi watu wauwe watu wenzao

Magaidi asilimia 100 ni hao, ni kwa nini? Na wanatumia jina la mwentezi Mungu kuchinja watu
 
Elezea ni Ibrahim au yesu!?..halafu hao watoto wa Ibrahim wawili,biblia inadai mmoja aliambiwa uzao wake utaongezeka maradufu,kati ya waarabu na waisrael akina nani wengi!?..
Ukiacha chuki utajifunza ukaelewa mkuu
 
Vizuri

Kwa nini sasa wameamua kuwa maadui wa Mungu ambaye hapendi watu wauwe watu wenzao

Magaidi asilimia 100 ni hao, ni kwa nini? Na wanatumia jina la mwentezi Mungu kuchinja watu
Wazungu wameua watu wengi kuliko jamii yoyote,wameua wahindi wekundu kwa mamilioni,wameua watu Australia,latin America,Africa,wameua Iraq, Afghanistan, Libya,wameua Sana Africa magharibi, DRC,waneuana wao kwa wao,walikaanga watu Hiroshima and Nagasaki,wameua Vietnam,kabla ya busha kuingia madarakani haya mambo hayakua hivi
 
Wazungu wameua watu wengi kuliko jamii yoyote,wameua wahindi wekundu kwa mamilioni,wameua watu Australia,latin America,Africa,wameua Iraq, Afghanistan, Libya,wameua Sana Africa magharibi, DRC,waneuana wao kwa wao,walikaanga watu Hiroshima and Nagasaki,wameua Vietnam,kabla ya busha kuingia madarakani haya mambo hayakua hivi
Jamaa wanataka kufungamanisha utawala wa mzungu na mambo ya kiimani, wazungu wameua raia kwenye huu ulimwengu sio mchezo ukianzia Africa tu ni balaa tupu
 
Biblia siyo maneno ya hadithi pekee

Ni Neno la kweli na lenye pumzi ya Mungu!

Tangu kuwapo kwa ahadi hizo kwa Ibrahimu mpaka leo na hadi kiama, bado Neno la Mungu limeendelea kuthibitisha hayo!

Ahadi hizo, ni kwa wazao wa baba wa Imani Ibrahimu na wafuasi wa kweli wa huyu Mungu JEHOVAH

Kwa ahadi hiyo, mataifa yenye kuitawala Dunia, yataendelea kuwa yale yaliyochini ya ahadi hiyo milele

Mtu asipotawaliwa na USA, basi Urus, ujeruman, Italy na hata Brazili au kokote ambako jina la Yesu linatajwa!

Zaidi ya hapo! Tuendeleeni kusubiri kiama kije!
Mimi ni mkristo ila sikubaliani na huu upumbavu ulioandika.
 
Back
Top Bottom