Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,057
- 4,349
Biblia siyo maneno ya hadithi pekee.
Ni Neno la kweli na lenye pumzi ya Mungu!
Tangu kuwapo kwa ahadi hizo kwa Ibrahimu mpaka leo na hadi kiama, bado Neno la Mungu limeendelea kuthibitisha hayo.
Ahadi hizo, ni kwa wazao wa baba wa Imani Ibrahimu na wafuasi wa kweli wa huyu Mungu JEHOVAH.
Kwa ahadi hiyo, mataifa yenye kuitawala Dunia, yataendelea kuwa yale yaliyochini ya ahadi hiyo milele.
Mtu asipotawaliwa na USA, basi Urus, ujeruman, Italy na hata Brazili au kokote ambako jina la Yesu linatajwa!
Zaidi ya hapo! Tuendeleeni kusubiri kiama kije.
Ni Neno la kweli na lenye pumzi ya Mungu!
Tangu kuwapo kwa ahadi hizo kwa Ibrahimu mpaka leo na hadi kiama, bado Neno la Mungu limeendelea kuthibitisha hayo.
Ahadi hizo, ni kwa wazao wa baba wa Imani Ibrahimu na wafuasi wa kweli wa huyu Mungu JEHOVAH.
Kwa ahadi hiyo, mataifa yenye kuitawala Dunia, yataendelea kuwa yale yaliyochini ya ahadi hiyo milele.
Mtu asipotawaliwa na USA, basi Urus, ujeruman, Italy na hata Brazili au kokote ambako jina la Yesu linatajwa!
Zaidi ya hapo! Tuendeleeni kusubiri kiama kije.