Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,512
- 220,207
- Thread starter
- #21
Sheria mbovu za uchaguzi maana yake ccm iendelee kuiba kura na kutuwekea wabunge wabovu , ambao hawatabadili chochote.Tuache kejeli na tujikite kwenye hoja, Je, yanayolalamikiwa ni kweli au uzushi? 🤔
Shida zote zinaanzia hapa kwenye viongozi wabovu