Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,884
- 8,782
Unakaa Lwanhima?Mkuu hizo appatments zipo Lwanhima sehemu Gani?
Unakaa Lwanhima?Mkuu hizo appatments zipo Lwanhima sehemu Gani?
Sio kwamba walisamehewa?Baadaye wakakata rufaa na wakasafishwa kwamba hawahusiki, Mahakama ikaamuru warejeshewe pesa yao ya faini Je nani alikuwa mhusika?
Hapana npo kishiriUnakaa Lwanhima?
Dili Sana Mtozi anatengenezea watu story Sana tena kwa kipindi hicho alimtengenezea kashfa maza 1 kitengo cha ardhi jiji Mwanza maza akaruka nae Polisi jamaa Akala konaKumbe ndiyo maana mtozi ni rafiki mkubwa wa Sabaya,?
Wewe pia unatakiwa uwe ndani kwa huu uzushi. Mkurugenzi ni mauaji ni wapi na wapi? Punguza kuropoka wewe chawa wa Mbowe.Akiwa DED wa Kinondoni alipanga mauaji ya viongozi wa Chadema walioamua kuandamana kupinga mawakala wao kunyimwa viapo vya uwakala kwenye vituo vya kura, kwa Bahati mbaya Mashambulizi ya risasi yakampata mwanafunzi wa NIT Aliyekuwa kwenye Daladala Akwilina
Hidaya anazingua kweli kweliUnawezaje kulala na hiki kimbunga Hidaya ?
Sahara media (Startv) hakuna mishahara, itakuwa Mtozi anajiongeza kwa kufanya uhalifu.Dili Sana Mtozi anatengenezea watu story Sana tena kwa kipindi hicho alimtengenezea kashfa maza 1 kitengo cha ardhi jiji Mwanza maza akaruka nae Polisi jamaa Akala kona
Wewe ni mpotoshaji hupaswi kuaminiwa.Tumeshakiri hayo Makosa, hatukujua hilo
Unajaribu kufunika jua kwa ungo?Umemsikia Msigwa akimuita Sugu kwamba ni msanii na sio kiongozi?Wewe jifanye mbuni kuficha kichwa kwenye mchanga kuficha ukweli.Wenzako wanagombania fito wewe piga mdomo tu.Erythrocyte , unaona chawa walivyolivalia njuga tamko la Lisu kuwa kuna pesa chafu. Soma JF humu sasa ndiyo habari ya JF, mara Lisu na Mbowe wanapingana/mahasimu etc etc. Ni jukumu lenu kulikanusha hili maana najua halipo. Watu ni wepesi kuwa swayed na chawa hawa.
Sasa unajichekesha kama kahaba ili iweje?Kagurumjuli ni "aliyekuwa" Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza. Sasa hivi yupo Ubungo. Kuhusu kuuza Coco Beach sijui, ila kuhusu Pamba kupanga kwenye apartments zake kule Lwanhima ni kweli Pamba SC wanakaa huko. Kuhusu kama utaratibu ulifuatwa bila conflicts of interest sijui. Lakini usisahau Chadema Makao Makuu wanapanga ofisi kwenye nyumba ya Baba Mkwe wa Mwenyekiti Mbowe! Ahahahahaha!!!!
Huku kukurupuka kuna siku sio mbali sana utajutia hayo unayoandika bila ushahidi wa uhakika.Tumeshakiri hayo Makosa, hatukujua hilo
Huyo jamaa ni shidaNgoja tuone mwisho wa kesi hii kati ya Raia mwema Nyanda na Mtuhumiwa wa Mauaji ya Akwilina, Kagulumujuli.
Mimi ndio nilipendekeza Kagulumujuli atimuliwe Mwanza, ila sikujua kama pendekezo langu limefanyiwa kazi, bali sikutaka ahamishwe ilikuwa atimuliwe tuHuku kukurupuka kuna siku sio mbali sana utajutia hayo unayoandika bila ushahidi wa uhakika.
Ili mkeo anipende!Sasa unajichekesha kama kahaba ili iweje?
Mkewangu ni weweIli mkeo anipende!