Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,444
- 219,966
Taarifa iliyotolewa na Mabere Makubi kutoka Mwanza, inaeleza kwamba, Mtukufu Kagulumujuli ambaye ni Mkurugenzi wa Jiji hilo na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kutokea Wilaya ya Kinondoni, amefungua kesi Mahakamani dhidi ya Mwandishi wa Star TV, Aloyce Nyanda kwa Tuhuma za kumchafua.
Kagulumujuli pamoja na mambo mengine analalamika kwamba tuhuma kwamba aliuza COCO BEACH ya Dar es Salaam si za kweli huku akikanusha kwamba amefanya njama ya kuipangisha Timu ya Soka ya Pamba ya Jijini humo kwenye nyumba yake Binafsi kinyume cha utaratibu.
Ngoja tuone mwisho wa kesi hii kati ya Raia mwema Nyanda na Mtuhumiwa wa Mauaji ya Akwilina, Kagulumujuli.
Kagulumujuli pamoja na mambo mengine analalamika kwamba tuhuma kwamba aliuza COCO BEACH ya Dar es Salaam si za kweli huku akikanusha kwamba amefanya njama ya kuipangisha Timu ya Soka ya Pamba ya Jijini humo kwenye nyumba yake Binafsi kinyume cha utaratibu.
Ngoja tuone mwisho wa kesi hii kati ya Raia mwema Nyanda na Mtuhumiwa wa Mauaji ya Akwilina, Kagulumujuli.