MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,708
- 6,546
Pole kama hauko sawa, Mungu akufanyie wepesi.
Moja kwa moja kwenye mada
Binafsi nina mchumba wangu namhudumia kila kitu ambacho mwanamke yeyote aliyekamilika ataitaji pamoja na kuwa ni mwajiriwa sekta binafsi.
kiufupi Madem zangu wengine nawatesa kwa kutowazingatia sana kwa sababu ya huyu main maana nilikua nampango wa kumuoa mwakani, ndugu zake wananifahamu ingawa sijaenda kujitambulisha rasmi.
Mara nyingi tukikutana au tukiwa tunaongea kwenye simu mada zake nyingi ni za jinsi ya yeye kujikwamua kiuchumi hali iliyopelekea hivi karibuni nimsaidie mtaji wa kuanza kilimo cha mahindi huko mkoani kitu ambacho nilikipinga sana sababu nimewahi kuinvest kwenye kilimo nikaambulia hasara kubwa sana ila alinishinikiza nikasema isiwe kesi, pesa makaratasi.
Sasa leo nimekaa nafikiria apa nikawa najiuliza ivi inakuaje mwanamke unaehudumiwa kila kitu na mumeo/mpenzi wako kuanza kuhangaika na hustles za kujitaftia hela, what for?
Dada umeolewa, hamna kitu utamwambia Baba Gee asikutimizie ila bado unahangaika na pesa za Michezo, vikoba na mikopo ya kausha damu, come on.!!
Moja kwa moja kwenye mada
Binafsi nina mchumba wangu namhudumia kila kitu ambacho mwanamke yeyote aliyekamilika ataitaji pamoja na kuwa ni mwajiriwa sekta binafsi.
kiufupi Madem zangu wengine nawatesa kwa kutowazingatia sana kwa sababu ya huyu main maana nilikua nampango wa kumuoa mwakani, ndugu zake wananifahamu ingawa sijaenda kujitambulisha rasmi.
Mara nyingi tukikutana au tukiwa tunaongea kwenye simu mada zake nyingi ni za jinsi ya yeye kujikwamua kiuchumi hali iliyopelekea hivi karibuni nimsaidie mtaji wa kuanza kilimo cha mahindi huko mkoani kitu ambacho nilikipinga sana sababu nimewahi kuinvest kwenye kilimo nikaambulia hasara kubwa sana ila alinishinikiza nikasema isiwe kesi, pesa makaratasi.
Sasa leo nimekaa nafikiria apa nikawa najiuliza ivi inakuaje mwanamke unaehudumiwa kila kitu na mumeo/mpenzi wako kuanza kuhangaika na hustles za kujitaftia hela, what for?
Dada umeolewa, hamna kitu utamwambia Baba Gee asikutimizie ila bado unahangaika na pesa za Michezo, vikoba na mikopo ya kausha damu, come on.!!