Mwanamke ndio kiumbe kinachoongoza kwa kusakamwa humu jamvini, tatizo ni nini?

Expensive life

JF-Expert Member
May 2, 2020
1,819
5,743
Mapunga wa kataa ndoa vita yao ni dhidi ya wanawake.

Wazee wa chaputa nao hawataki kusikia kitu kinaitwa mwanake.

Walio kwenye ndoa malalamiko lukukuki dhidi ya mwanamke, tatizo ni nini? Wanawake mbona kila siku ni nyie tu?

661A748A-87F1-4B67-9B1C-AB3C3A4AD252.jpeg
 
Hata wanaume tunasakamwa mno huku uraiani😩😩,sheria ziko against US,watoto nao wanaegemea kwa mama zao,kila mahali wanaharakati ni kutetea wanawake tu ,yan wanaume tunawindwa na kila kitu kwa hio acha tu tuwavurumishie mawe na mikong'oto humu ambapo hawawezi kutushitaki police au dawati😎
 
Hata wanaume tunasakamwa mno huku uraiani😩😩,sheria ziko against US,watoto nao wanaegemea kwa mama zao,kila mahali wanaharakati ni kutetea wanawake tu ,yan wanaume tunawindwa na kila kitu kwa hio acha tu tuwavurumishie mawe na mikong'oto humu ambapo hawawezi kutushitaki police au dawati😎
😀😀
 
Walio kwenye ndoa malalamiko lukukuki dhidi ya mwanamke, tatizo ni nini? Wanawake mbona kila siku ni nyie tu?
Hii inaweza kujibiwa na wazee waliotoka huko👇

 
Hata wanaume tunasakamwa mno huku uraiani😩😩,sheria ziko against US,watoto nao wanaegemea kwa mama zao,kila mahali wanaharakati ni kutetea wanawake tu ,yan wanaume tunawindwa na kila kitu kwa hio acha tu tuwavurumishie mawe na mikong'oto humu ambapo hawawezi kutushitaki police au dawati😎
Dawa haijakolea mbona
 
Me naungana na Taliban, mwanamke ana paswa kukaa nyumbani kulea familia na si vinginevyo.
 
mapunga wa kataa ndoa vita yao ni dhidi ya wanawake.

Wazee wa chaputa nao hawataki kusikia kitu kinaitwa mwanake.

Walio kwenye ndoa malalamiko lukukuki dhidi ya mwanamke, tatizo ni nini? Wanawake mbona kila siku ni nyie tu?

View attachment 2536089
.......kwanza nikiri kuwapenda na kuwakubali wanawake Kwa nanna walivyo na mambo yao yaliyo mazuri, huwa naona kama vile mwanamke ni zawadi kubwa kutoka Kwa Mungu, Sasa pengine wanaume bado hatujawaelewa wanawake na hatujajua nanna kuishi nao au mwanamke bado haelewi ana jukumu na nafasi Gani Kwa mwanaume au ameamua kugomea nafasi na majukumu yake,Sasa hili limepelekea ujio wa mwanamke duniani kusababisha a very big mess and so much trouble in the world, na ndio maana baadhi ya mafilosofa wakaamua kusema: 'No Woman..........'
 
mapunga wa kataa ndoa vita yao ni dhidi ya wanawake.

Wazee wa chaputa nao hawataki kusikia kitu kinaitwa mwanake.

Walio kwenye ndoa malalamiko lukukuki dhidi ya mwanamke, tatizo ni nini? Wanawake mbona kila siku ni nyie tu?

View attachment 2536089
Manzi yangu yaan nnachompendea ana moyo wa kujitoa muhanga kwa ajili yangu, mengine siongezei

Ndoa tamu ukipata anaekuelewa ukikumbana na gumbegumba umekula kwako, mama Irene popote ulipo chukua glass kisha gonga cheers!
 
.......kwanza nikiri kuwapenda na kuwakubali wanawake Kwa nanna walivyo na mambo yao yaliyo mazuri, huwa naona kama vile mwanamke ni zawadi kubwa kutoka Kwa Mungu, Sasa pengine wanaume bado hatujawaelewa wanawake na hatujajua nanna kuishi nao au mwanamke bado haelewi ana jukumu na nafasi Gani Kwa mwanaume au ameamua kugomea nafasi na majukumu yake,Sasa hili limepelekea ujio wa mwanamke duniani kusababisha a very big mess and so much trouble in the world, na ndio maana baadhi ya mafilosofa wakaamua kusema: 'No Woman..........'
Mwanamke inabidi awe chini ya Mwanaume, ikiwa kinyume chake basi hapo lazima mtibuane, mwanamke inabidi asikilize na atekeleze sio kuleta ukaidi ukaidi.. unamwambia hivi hataki hivi sitaki PIGA CHINI FASTA
 
Back
Top Bottom