johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,045
- 143,785
Huo Ndio Ukweli wa Jumanne hii.
Moja ya Imani Kuu ya CCM ambayo mwanachama hujiapiza nayo mbele ya Mungu wa mbinguni ni Kuulinda Muungano wa Tanzania.
CCM ni Tunda la TANU na ASP zilipoungana Ndio ikazaliwa 05/02/1977.
Tundu Antipas Lisu sera ya chama chake Chadema ambacho nacho ni tunda la Muungano ni Muungano wa Serikali 3 lakini Kiapo Cha Imani ya CCM ni Serikali 2 kuelekea 1.
Kwahiyo Muungano uko pale na utadumu na Serikali 3 haitawezekana kwa sababu CCM itakuwa Inajikana Yenyewe.
Mungu wa mbinguni awabariki. ๐
Moja ya Imani Kuu ya CCM ambayo mwanachama hujiapiza nayo mbele ya Mungu wa mbinguni ni Kuulinda Muungano wa Tanzania.
CCM ni Tunda la TANU na ASP zilipoungana Ndio ikazaliwa 05/02/1977.
Tundu Antipas Lisu sera ya chama chake Chadema ambacho nacho ni tunda la Muungano ni Muungano wa Serikali 3 lakini Kiapo Cha Imani ya CCM ni Serikali 2 kuelekea 1.
Kwahiyo Muungano uko pale na utadumu na Serikali 3 haitawezekana kwa sababu CCM itakuwa Inajikana Yenyewe.
Mungu wa mbinguni awabariki. ๐