Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,656
- 84,456
Kiongozi usitake kusema na wewe umeingia kwenye huo mkenge wa kuamini kuwa ni yeye, uliyoyasema ni kweli kuwa jamaa wapo kila sehemu ila kwa ishu ya huyo siyo yeye, anyway muda utasema yawezekana wengine ndio hatujui kufananisha watu vizuriUlipo tupo ( wanasema hivyo), ndiyo muelewe kuwa kila kundi ulilopo Kuna chaneli za dola.
Baani kama wahudumu,
Kanisani kama wachungaji,
Misikitini kama mashekhe,
Mtaani kama boda boda, wauza madafu, wauza mkaa, wauza urembo na machinga.
Maeneo mhimu sana katika muktadha wa kiusalama.
Ishi kwa nidhamu na utii wa Sheria.
Mengine waachie wao!