johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,701
- 143,127
Muuza madafu amehojiwa na Ayo Tv na kusema yeye Siyo yule Komandoo ila ni Kweli wanafanana
Muuza madafu amesema yeye anacheza kareti na boxing na anatamani sana kujiunga na mambo ya Ulinzi kama wakuu watamuona kama ilivyokuwa kwa Majaliwa wa Bukoba
Muuza madafu amesema alikuwa kwa mama Ntilie Ndio akamuona Komandoo luningani na kugundua wamefanana sana
Mwisho muuza madafu amemuombea Heri Rais Samia na kumuhakikishia yuko salama kutokana na kikosi alichokiona uwanjani
Source: Ayo TV
Pia soma: Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?
Muuza madafu amesema yeye anacheza kareti na boxing na anatamani sana kujiunga na mambo ya Ulinzi kama wakuu watamuona kama ilivyokuwa kwa Majaliwa wa Bukoba
Muuza madafu amesema alikuwa kwa mama Ntilie Ndio akamuona Komandoo luningani na kugundua wamefanana sana
Mwisho muuza madafu amemuombea Heri Rais Samia na kumuhakikishia yuko salama kutokana na kikosi alichokiona uwanjani
Source: Ayo TV
Pia soma: Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?