Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,834
- 4,587
Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini, Joseph Musukuma ameishauri serikali ianze kufunga mifumo ya gesi katika Gari zote za mawaziri ili kuokoa gharama kutokana na gari hizo kutumia mafuta ambayo gharama yake ni kubwa ukilinganisha na gesi.
Musukuma amesema hayo leo Aprili 25, 2025 Bungeni jijini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka wa fedha 2024/2025