maisha ya mwanadamu ni kama maua huchanua na kusinyaa, wengi wetu tumezaliwa tukiwa na ndoto kibao za mafanikio katika maisha yetu , hakuna mtu asiye penda kuishi maisha mazuri, kila mtu anatamani awe na pesa, jumba, magari na miradi mbalimbali ya kutosha
Nadhani wengi wetu tulipo kuwa bado wadogo katika nyoyo zetu na nyuso zetu tulikuwa tumejenga picha ya maisha yetu ya badae kwamba tutakuwa na maisha mazuri tumejenga nyumba nzuri,tumenunua gari kali la bei mbaya alafu pembeni una mwanamke mzuri. Lakini vyote sivyo bado hatujafanikiwa na tunaendelea kusota na maisha
Siku zote Mungu huwa HAKUPI UNACHOTAKA na anakupa usichotaka ni watu wachache sana ambao wapo kwenye mpango wa Mungu na wakamuomba mahitaji yao wanayo yataka na wakapewa, wengi wetu ndoto zetu nyingi zimeishia njiani kwa sababu tumesha kata tamaa ya maisha.
Sababu maisha ni bahati, maisha ni nasibu mafanikio ya mtu huwa yanakuja automatiki na kila mwanadamu huwa ana road map ya maisha yake yaani mungu anakuwa amesha kuchorea kila kitu kuhusu maisha yako hata ufanye vipi utumie mbinu gani lakini Mungu akipanga amepanga kwamba huyu mtu maisha yake yatakuwa hivi
Embu fikiria una ndoto ya kuwa daktari ila unaishia kuwa mwalimu,
Unataka kuwa injinia unaishia kuwa polisi
Unataka kuwa mwanasheria unaishia kuwa bodaboda
Unataka kumuoa mwanamke fulani ila unaishia kuoa mwingine usiye mdhania
Unapanga nikifungua biashara fulani basi mambo yangu yatanyooka yatakuwa mazuri ila baada ya kufungua mambo yanaenda ndivyo sivyo unaishia kwenye limbi la mawazo kibao.
Lakini haya yote ndio maisha yetu sisi maskini, kwa maana maskini ni wengi kuliko matajiri na wenye mafanikio ni wachache sana tulio wengi ni maskini .
Na baada ya mahangaiko yetu yote duniani lakini mwisho tunaishia kaburini
Ndugu zangu tumtafute sana Mungu kwa bidii ili kila tunacho kitaka tuweze kukipata kwa muda na wakati sahihi
Lakini pia usisahau kuwa sio kila mtu anayepitia nyakati ngumu za kuwa na maisha magumu eti kwamba baadae atapata mafanikio baadae pia unaweza hata ukafa.
Nadhani wengi wetu tulipo kuwa bado wadogo katika nyoyo zetu na nyuso zetu tulikuwa tumejenga picha ya maisha yetu ya badae kwamba tutakuwa na maisha mazuri tumejenga nyumba nzuri,tumenunua gari kali la bei mbaya alafu pembeni una mwanamke mzuri. Lakini vyote sivyo bado hatujafanikiwa na tunaendelea kusota na maisha
Siku zote Mungu huwa HAKUPI UNACHOTAKA na anakupa usichotaka ni watu wachache sana ambao wapo kwenye mpango wa Mungu na wakamuomba mahitaji yao wanayo yataka na wakapewa, wengi wetu ndoto zetu nyingi zimeishia njiani kwa sababu tumesha kata tamaa ya maisha.
Sababu maisha ni bahati, maisha ni nasibu mafanikio ya mtu huwa yanakuja automatiki na kila mwanadamu huwa ana road map ya maisha yake yaani mungu anakuwa amesha kuchorea kila kitu kuhusu maisha yako hata ufanye vipi utumie mbinu gani lakini Mungu akipanga amepanga kwamba huyu mtu maisha yake yatakuwa hivi
Embu fikiria una ndoto ya kuwa daktari ila unaishia kuwa mwalimu,
Unataka kuwa injinia unaishia kuwa polisi
Unataka kuwa mwanasheria unaishia kuwa bodaboda
Unataka kumuoa mwanamke fulani ila unaishia kuoa mwingine usiye mdhania
Unapanga nikifungua biashara fulani basi mambo yangu yatanyooka yatakuwa mazuri ila baada ya kufungua mambo yanaenda ndivyo sivyo unaishia kwenye limbi la mawazo kibao.
Lakini haya yote ndio maisha yetu sisi maskini, kwa maana maskini ni wengi kuliko matajiri na wenye mafanikio ni wachache sana tulio wengi ni maskini .
Na baada ya mahangaiko yetu yote duniani lakini mwisho tunaishia kaburini
Ndugu zangu tumtafute sana Mungu kwa bidii ili kila tunacho kitaka tuweze kukipata kwa muda na wakati sahihi
Lakini pia usisahau kuwa sio kila mtu anayepitia nyakati ngumu za kuwa na maisha magumu eti kwamba baadae atapata mafanikio baadae pia unaweza hata ukafa.