MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

Maelezo mazuri. Je ni sawa kuwa na D kwenye course za Afya kwa génération ya sasa wakati ufaulu wa sasa ni mkubwa kulinganisha na awali. ?
Kama ulivyosema, kama ufaulu ni mkubwa huyo mtu wa D anafikaje MUHAS? Inamaana wengi watakuwa wamesha jaza nafasi yeye anapitia wapi? Unless kama kuna kubebana, kitu amabacho siamini kwa sasa. Ingawa sijui idadi ya intake kwa sasa lakini ikiwa ufaulu ni mzuri, huwezi kukuta D MUHAS au chuo chochote isipokuwa vyuo binafsi kama IMTU, au Kairuki na nje ya nchi.
 
Swali la hovyo sana halafu umejiandika una masters

If you are a doctor you will work with nurses as well as pharmacist , you will explain things to them and they will explain to you

if you are good enough both of them will be your friends

You have something to learn from pharmacist, if you don’t interact with them … you will know only what you know ,

if you think you are better than nurses …you will know only what you know


Medical field sio field ya mtu 1 sitting on chair and make it all

Ndio hapo tunapata vijana who ask
Is your family has history of failing from the trees

Hapa nilipo, it is normal thing for me to be in a constant call with pharmacist for 20minutes arguing and discussing based on the statistical data ; akinielezea why dawa niliyo prescribe is not suitable for that patient after he has gone through patient file .

He provides his literature and findings based on the data , you listen you talk and finally we reach consensus, and now you ask him , so what is your recommendation; then he provides the suitable one with hard evidence based on the statistical significance. Ndio maana hukuti medication errors kizembe because we believe kuna Verifier who is a pharmacist , hapo TZ daktari nikifanya professional error kutokana na wingi wa kazi , most of the time ndio inatembea hiyo ……..

Hapo Bongo sijawahi kukutana na hao pharmacist , na ikitokea ni mara chache chache sana , doctor tunaamini we know all , pharmacist nao wanajiona wanajua sana dawa than doctors , nurses yeye anajiona ndio mpango mzima linapokuja suala la mgonjwa and sometime they even teach doctors in the practical sense.

Mfumo wa black countries haupo organized kuwa you guys you need to work pamoja ili mgonjwa awe salama zaid . The ultimate ni afya ya mgonjwa
Kumbuka kila nchi inamfumo tofauti wa elimu, kwamfano Marekani wao Pharmacist ana kuwa na doctorate degree, yani PharmD ndiye pharmacist, na ukiangalia hata kwenye borad yao ya pharmacy yani AACP wanasema kabisa kuwa pharmacist lazima huwe na pharmD.

Nurses pia wao wana mifumo yao tofauti na kwetu. Hivyo nakubaliana na wewe huwezi kukuta Pharamcist Tanzania wa kuanza kuleta evidence na statistical data evidence kwa ajili ya kumshauri daktari, na hapa kwetu mara nyingi humkuti pharmacist ndani ya pharmacy kuna kuwa na trained personnel wanakuhudumia.

Sijui uko nchi gani lakini sio kila kitu hapa kwetu ni kibovu, ingawa ubovu upo.
 
Nchi yetu hii,ukienda na mgonjwa hospital yoyote iwe Muhimbili au Aga Khan zinazoaminika,ukiambiwa kuna operations ujue ni kamari na huyo ndugu yenu haponi.....unaogea na doctor nayeye anakuomba ushauri mtu wa HKL nini kifanyike.
Kama unashida fulani na unakipato,nenda India tu,hapa Bongo unakufa huku unajiona,kuna Mama yetu alikwisha andika hadi urithi, alikuwa anatibiwa Aga Khan,baada ya mtu mmoja kushauri aende India,na wanafamilia kuchanga ili aende,alipofika kule baada ya vipimo,wakashangaa Madaktari wa Tz walikuwa wanatibu jambo ambalo si tatizo,wakashangaa sana....yule Mama baada ya miezi 2 akapona kabisa,mwezi wa tatu akarudi Bongo, anaendelea kula bata fresh kabisa

Sekta ya Afya Tz inawezekana katika vifo vya watu 100,incompetence ya wahudumu inawezekana ikawa inachangia vifo vya watu 15
Hahaha India tena? yani Katoka Aga Khan kwa wahindi kaenda India kwa wahindi?
 
Nakumbuka nikiwa form 3, niliwahi kumuachia daktari makaratasi kwa kutotaka kunisikiliza maelezo yangu. Naingia tu anaandika vipimo, namuuliza mbona hujanisikiliza, we nenda maabara kwanza.

Bila shaka siku hiyo nilimuachia funzo kwa kijana mdogo kugomea upuuzi wake.

Nikaenda private hosp kupata huduma. Madaktari na watoa huduma wote, jifunzeni kusikiliza kwanza.
Hawasikilizagi wanajiandikia tu vikaratasi vyao huku wanachati Whatsapp
 
Mimi naona wewe ndo shida na siyo hao unaowasema. Hivi unategemea mtu ambaye ndo anaanza kazi awe competent kama wewe ambaye upo kazini muda mrefu?
Badala uwaelekeze waelewe wewe unaanza kuponda vyuo wanavyotoka, hivi huoni kwamba wewe ni tatizo zaidi sehemu yako ya kazi zaidi ya unavyojiona?
Mpuuzi huyu anajigamba
 
Best Pharmacy ni MUHAS
Exactly MUHAS wako very well structured na staff wa kutosha and most of them are competent at what they do,

Pharmacy ya CUHAS haieleweki
Staff wenyewe hawatoshi
Shule kashikilia yule mama wa kijapan, hana competence and she is not even a visionary. Ada yao sasa...... 😆 😂 😆 😂 😆
Kuliko kusoma CUHAS hiyo hela bora niingie mtaani direct
 
Exactly MUHAS wako very well structured na staff wa kutosha and most of them are competent at what they do,

Pharmacy ya CUHAS haieleweki
Staff wenyewe hawatoshi
Shule kashikilia yule mama wa kijapan, hana competence and she is not even a visionary. Ada yao sasa......
Kuliko kusoma CUHAS hiyo hela bora niingie mtaani direct

Kweli ?
 
Kumbuka kila nchi inamfumo tofauti wa elimu, kwamfano Marekani wao Pharmacist ana kuwa na doctorate degree, yani PharmD ndiye pharmacist, na ukiangalia hata kwenye borad yao ya pharmacy yani AACP wanasema kabisa kuwa pharmacist lazima huwe na pharmD.

Nurses pia wao wana mifumo yao tofauti na kwetu. Hivyo nakubaliana na wewe huwezi kukuta Pharamcist Tanzania wa kuanza kuleta evidence na statistical data evidence kwa ajili ya kumshauri daktari, na hapa kwetu mara nyingi humkuti pharmacist ndani ya pharmacy kuna kuwa na trained personnel wanakuhudumia.

Sijui uko nchi gani lakini sio kila kitu hapa kwetu ni kibovu, ingawa ubovu upo.
Aghakhan HQ pharmacist ana mchango mkubwa sana kwa direct care ya mgonjwa,
Back in the days ulikua mpaka kuna fungu unapata kama ukiweza kwenda extra mile kushauriana na daktari kuhusu tiba ya mgonjwa ending up on improvement ya previous PRESCRIPTION....

Shida ya nchi hii...

DOCTORS wanajiona superior na much know kumbe wengi wao ni vilaza tu hawana competence hiyo....kazi kuwahi vijiwe vitatu vitatu kusaka tonge.

PHARMACIST wengi ni incompetent sababu vyuo vingi ni tia maji tia maji na wengi wao wakifika magazine hawajiendelezi so ni mwendo wa kugawa dawa tu bila kuwa na tangible contribution ya kuimprove care ya mgonjwa,
Hizi public hospital watu wanajaa dirisha la dawa unakimbiza foleni waende maana wanakuwaga na visirani kweli
Angalau wagonjwa wa wodini kama upo competent you can contribute something

NURSES wanadharaulika sana.... they do the most when it comes to hospital set up lakini wanalipwa the least

MAABARA hii taaluma hata haipewi uzito unaostahili, hata ajira zao wanaminya sana mikeka ikitoka......

Inshort ili tiba iende vizuri
Daktari inabidi awe very competent sababu yeye ndo mtu wa kwanza kumuona mgonjwa....
Na yeye ndo ana chance kubwa ya kurecommend vipimo sahihi
Na vipimo vikiwa sahihi inakua easier hata kutoa dawa za uhakika

Hapo kwenye dawa, kuna tofauti ya kutumia dawa ya kiwanda A class na viwanda vya kajamba nani, therapeutic outcome may not be the same... ndo maana hospitali ghali hukuti brands cheap cheap

Sasa
DAKTARI MUCH KNOW FULL KUWAHI VIJIWE
PHARMACIST WA MEDSCAPE
MTU WA MAABARA YEYE ANAPOKEA TU INSTRUCTIONS

Lazima tiba iwe a mess and vicious circle ya incompetence
 
Ndio..... CUHAS miyeyusho sana pharmacy, hata sielewi vigezo vya wao kupewa usajili wa course back then vilikua ni nini

Nakwambia hivyo sababu nna first hand experience ya vyote,
Nimesoma MUHAS (ingawa sijihusishi na afya 100%)
nimechangia ada kusomesha CUHAS mwanafamilia bpharm, and had very high expectations blindly
 
Mnajifariji tu, tena mpeane moyo na kufundishana maana nyie ni madaktari wa waTz tu....hata raisi wenu akiugua ataenda nje...
Msijione bora nyie ni angalau
 
Aghakhan HQ pharmacist ana mchango mkubwa sana kwa direct care ya mgonjwa,
Back in the days ulikua mpaka kuna fungu unapata kama ukiweza kwenda extra mile kushauriana na daktari kuhusu tiba ya mgonjwa ending up on improvement ya previous PRESCRIPTION....

Shida ya nchi hii...

DOCTORS wanajiona superior na much know kumbe wengi wao ni vilaza tu hawana competence hiyo....kazi kuwahi vijiwe vitatu vitatu kusaka tonge.

PHARMACIST wengi ni incompetent sababu vyuo vingi ni tia maji tia maji na wengi wao wakifika magazine hawajiendelezi so ni mwendo wa kugawa dawa tu bila kuwa na tangible contribution ya kuimprove care ya mgonjwa,
Hizi public hospital watu wanajaa dirisha la dawa unakimbiza foleni waende maana wanakuwaga na visirani kweli
Angalau wagonjwa wa wodini kama upo competent you can contribute something

NURSES wanadharaulika sana.... they do the most when it comes to hospital set up lakini wanalipwa the least

MAABARA hii taaluma hata haipewi uzito unaostahili, hata ajira zao wanaminya sana mikeka ikitoka......

Inshort ili tiba iende vizuri
Daktari inabidi awe very competent sababu yeye ndo mtu wa kwanza kumuona mgonjwa....
Na yeye ndo ana chance kubwa ya kurecommend vipimo sahihi
Na vipimo vikiwa sahihi inakua easier hata kutoa dawa za uhakika

Hapo kwenye dawa, kuna tofauti ya kutumia dawa ya kiwanda A class na viwanda vya kajamba nani, therapeutic outcome may not be the same... ndo maana hospitali ghali hukuti brands cheap cheap

Sasa
DAKTARI MUCH KNOW FULL KUWAHI VIJIWE
PHARMACIST WA MEDSCAPE
MTU WA MAABARA YEYE ANAPOKEA TU INSTRUCTIONS

Lazima tiba iwe a mess and vicious circle ya incompetence

Daktari hawezi kuwa mzuri zaid ya pharmacist kwenye dawa; unless unazungumzia vyuo vya Kampala, Doctors we are good kwenye diagnosis na pathological finding , nikishajua shida ya mgonjwa kupitia vipimo, ninaweza hata kuchungulia dictionary au hizo standard treatment guideline kujua ni mpe nini.

We focus kwenye pathological issues sio dawa. Tunajua dawa fulan sio nzuri endapo tuna pokea complain nyingi za dawa fulan from patients .

I am working with clinical pharmacist super specialized kwenye Oncology, they are the ones who guide us kwenye medication therapies na mixing , I don’t need to memorize dose scheme , I will know them nikiwa na prescribe sana then it stick in my head .

My main role ni kudetermine issue ya mgonjwa pathologically na ni recommend kipimo ambacho kita confirm my hypothesis….. hayo mambo ya dawa ni already documented, it is not that natoa from my head , nacheck miongozo inasema nini; therefore I expect Pharmacist to lead me further wao ndio Chemist na kazi yao kubwa ni kucheza na madawa dawa And they suppose to know more that anyone else .

A pharmacist is not about mbili mara tatu, Ila kwa Tanzania based on the education setting na system setting Pharmacist wengi ni wa mchongo kama ilivyo kwa doctors ; kwangu mimi heshima nawapa Nurses. Daktari akiwa wa mchongo I expect pharmacist awe smart na kumshauri kuwa hapa umezingua, tofauti na hapo mgonjwa anaenda kufia mbele…..

doctor wa imtu mchongo + Pharmacist Kampala wa mchongo= Death

Nilishawahi kuona a prescription from Hospital kubwa ipo maeneo ya Tegeta njia ya Bagamoyo, a patient complained on flu and little coughing : a doctor gave her , Cetirizine, Erythromycin, Cough Syrup , Montelukast na Diclofenac

Ngoma ikatoka kwa Doctor ikamfikia Mfamasia wa mchongo, akachomoa Dawa ! Uzuri huyo shemu wangu Hajasomea mambo ya Afya but ni msomi na ni critical thinker , she doubted the prescription! Na Bima imeshachanja!

dawa nyingi kwa mtoto wa 13 years .

She called me on WhatsApp , for clarification, is this really okay ?

Nilishangaa sana, I told her usimpe hata moja. Nikamlink na watu wangu wa maabara TZ wamcheck kama ana any infection , she was clean , and no fever , just flu na simple dry cough, I recommended only one thing , and in 3 days she got better !

Now imagine for kayumba na wale wanao trust the system….Bongo pagumu snaa na chanzo chote mfumo mbovu wa elimu na setting

Nasikia now F zinapiganiwa wajiunge nao kusomea Afya

Ukitaka kuwa na kizazi cha hovyo, haribu mfumo wa elimu for the sake of CASH ! Ndio maana utaona leo hata Babu tale a standard 7 failure ni mmbunge and he is a policy maker for the country , shame
 
Critical thinking

You will need to reason

Kwenye elimu we don’t focus only na cognitive theory ( mfumo mwingi wa elimu ya TZ ni cognitive based only knowledge)

While mfumo wa mbele au hizi international schools ni wanafocus kwenye mambo 3

1. Psychomoteur ( to ensure students has skills may be multiple skills kwenye maisha)
2. Cognitive ( knowledge)
3. Attitudes ( to have the right attitudes )

Mfumo wa TZ una focus kwenye Cognitive tu
Psychomoteur ni zero
Attitude ni zero

Ndio hao viongozi wa TZ , unakuta mtu Rais au Waziri but still anaiba na kupiga deal .
Viongozi wezi wapo kote duniani
 
Daktari hawezi kuwa mzuri zaid ya pharmacist kwenye dawa; unless unazungumzia vyuo vya Kampala, Doctors we are good kwenye diagnosis na pathological finding , nikishajua shida ya mgonjwa kupitia vipimo, ninaweza hata kuchungulia dictionary au hizo standard treatment guideline kujua ni mpe nini.

We focus kwenye pathological issues sio dawa. Tunajua dawa fulan sio nzuri endapo tuna pokea complain nyingi za dawa fulan from patients .

I am working with clinical pharmacist super specialized kwenye Oncology, they are the ones who guide us kwenye medication therapies na mixing , I don’t need to memorize dose scheme , I will know them nikiwa na prescribe sana then it stick in my head .

My main role ni kudetermine issue ya mgonjwa pathologically na ni recommend kipimo ambacho kita confirm my hypothesis….. hayo mambo ya dawa ni already documented, it is not that natoa from my head , nacheck miongozo inasema nini; therefore I expect Pharmacist to lead me further wao ndio Chemist na kazi yao kubwa ni kucheza na madawa dawa And they suppose to know more that anyone else .

A pharmacist is not about mbili mara tatu, Ila kwa Tanzania based on the education setting na system setting Pharmacist wengi ni wa mchongo kama ilivyo kwa doctors ; kwangu mimi heshima nawapa Nurses. Daktari akiwa wa mchongo I expect pharmacist awe smart na kumshauri kuwa hapa umezingua, tofauti na hapo mgonjwa anaenda kufia mbele…..

doctor wa imtu mchongo + Pharmacist Kampala wa mchongo= Death
emoji3517.png


Nilishawahi kuona a prescription from Hospital kubwa ipo maeneo ya Tegeta njia ya Bagamoyo, a patient complained on flu and little coughing : a doctor gave her , Cetirizine, Erythromycin, Cough Syrup , Montelukast na Diclofenac

Ngoma ikatoka kwa Doctor ikamfikia Mfamasia wa mchongo, akachomoa Dawa ! Uzuri huyo shemu wangu Hajasomea mambo ya Afya but ni msomi na ni critical thinker , she doubted the prescription! Na Bima imeshachanja!

dawa nyingi kwa mtoto wa 13 years .

She called me on WhatsApp , for clarification, is this really okay ?

Nilishangaa sana, I told her usimpe hata moja. Nikamlink na watu wangu wa maabara TZ wamcheck kama ana any infection , she was clean , and no fever , just flu na simple dry cough, I recommended only one thing , and in 3 days she got better !

Now imagine for kayumba na wale wanao trust the system….Bongo pagumu snaa na chanzo chote mfumo mbovu wa elimu na setting

Nasikia now F zinapiganiwa wajiunge nao kusomea Afya

Ukitaka kuwa na kizazi cha hovyo, haribu mfumo wa elimu for the sake of CASH ! Ndio maana utaona leo hata Babu tale a standard 7 failure ni mmbunge and he is a policy maker for the country , shame
Soma polepole utaelewa sijasema daktari ni mzuri kuliko pharmacist kwa dawa....
Sasa dawa za kawaida ukitoa traditional medicines it's all about "pharmacology"
Sasa CUHAS pharmacist kwa kipindi kirefu alikua anasoma pharmacology semester 1 kama sio mbili tena kwa kuchanganywa na MD... sasa unategemea huyo mtu akimaliza shule awe superior kwenye dawa????? Superiority comes from knowledge, which is translated to experience ukifika kazini

Muda huo MUHAS pharmacology ni kila mwaka since 2nd year tena wenyewe bila kuchanganywa na course yeyote


Shida inarudi palepale, wanatoa sajili za hivi vyuo bila kukidhi vigezo.... staff wachache, imagine chuo 90% ya walimu wanatoka MUHAS, watoto wanafundishwa 1 month vitu vya semester nzima, aisee kila nikiwaza ile ADA YA CUHAS ROHO INANIUMA

Point yangu ni kwamba daktari akiwa incompetent anaharibu chain nzima ya therapeutic outcome and it's even worse kwa OUTPATIENTS, sababu Tanzania watu wengi hawana culture ya kutibiwa hospitali moja na daktari mmoja majority ya visits
 
Soma polepole utaelewa sijasema daktari ni mzuri kuliko pharmacist kwa dawa....
Sasa dawa za kawaida ukitoa traditional medicines it's all about "pharmacology"
Sasa CUHAS pharmacist kwa kipindi kirefu alikua anasoma pharmacology semester 1 kama sio mbili tena kwa kuchanganywa na MD... sasa unategemea huyo mtu akimaliza shule awe superior kwenye dawa????? Superiority comes from knowledge, which is translated to experience ukifika kazini

Muda huo MUHAS pharmacology ni kila mwaka since 2nd year tena wenyewe bila kuchanganywa na course yeyote


Shida inarudi palepale, wanatoa sajili za hivi vyuo bila kukidhi vigezo.... staff wachache, imagine chuo 90% ya walimu wanatoka MUHAS, watoto wanafundishwa 1 month vitu vya semester nzima, aisee kila nikiwaza ile ADA YA CUHAS ROHO INANIUMA

Point yangu ni kwamba daktari akiwa incompetent anaharibu chain nzima ya therapeutic outcome and it's even worse kwa OUTPATIENTS, sababu Tanzania watu wengi hawana culture ya kutibiwa hospitali moja na daktari mmoja majority ya visits

Kumbe CUHAS ni mchongo mtupu

Kuna hawa wanaenda India kusoma Famacy miaka 3 mmmmh

Makozi mengine km hayo mafasi sio kabisa

Kwa Tanzania haijulikani kazi yao ni nini

Hivi leo Hosp zikiwa Hazina wafamasia hazito operate ? Kwa TZ jamaa wapo but umuhimu Wao sijauona

Ila kwa huku Famasia ni watu muhimu kuokoa maisha ya watu
 
Kumbe CUHAS ni mchongo mtupu

Kuna hawa wanaenda India kusoma Famacy miaka 3 mmmmh

Makozi mengine km hayo mafasi sio kabisa

Kwa Tanzania haijulikani kazi yao ni nini

Hivi leo Hosp zikiwa Hazina wafamasia hazito operate ? Kwa TZ jamaa wapo but umuhimu Wao sijauona

Ila kwa huku Famasia ni watu muhimu kuokoa maisha ya watu
Zahanati zina MO/CO na nurses maisha yanaenda.......

Nurse anagawa dawa, nurse anasoma vipimo lab

If all you do is 2×3 type of things, anyone can do that for as long as amesoma some sort of afya anafanya...

Umuhimu wa mfamasia utaonekana kama wenye taaluma wanaofanya kazi hayo maeneo wataonesha umuhimu wao
 
Zahanati zina MO/CO na nurses maisha yanaenda.......

Nurse anagawa dawa, nurse anasoma vipimo lab

If all you do is 2×3 type of things, anyone can do that for as long as amesoma some sort of afya anafanya...

Umuhimu wa mfamasia utaonekana kama wenye taaluma wanaofanya kazi hayo maeneo wataonesha umuhimu wao

Kazi yao sio kugawa dawa shida setting , those people should help us to navigate things

Kazi ya kugawa dawa not only nurses can do
Even teja layperson can do

Setting zipo waz
Famasia ana majukumu yake

Doctors ana line zake

Nurses as well
Shida hiyo nchi ni ya hovyo

Ndio utaona hata Janabi nae amekuwa Nutritionist with lots of misleading kwenye jamii
 
Back
Top Bottom