MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

Audience analysis haifanyiki na watu wengi wanapo threadika tuepuka kutumia vifupisho ambavyo tuna-assume kila mtu anavijua what is MUHAS AND CUHAS?,pia technical jargons zimetumika Kana kwamba JF Members ni jopo la madaktari mtu aliteishia STD 4 kama Lucas Mwashambwa anaelewa nini unaposema Gynazol.Kwako Dr Megalodon
 
Hakuna mnachojua

Labda wewe unaweza kujibu, umesema nimekosea kuandika jina kwamba ningeandika Generic name !
What is Generic na what is Generic brand
Innovator na Innovator brand ? Au what is INN

Ukiweza kujibu hili akili yako itatulia
Sawa mkuu, gynazol ni dawa 😂 daktar mzima unasema hivo 😂 usitupigie kelele wew
 
Naweza kukubaliana nawewe kwa kiasi ila pia naweza kupingana nawewe

Ninawajua watu hao wenye Div. 4 na 3 za O-level lakini ni wazuri sana makazini na wapo graduated candidates kwny vyuo vikubwa lakini wapo shalo sana....Training ndio kitu muhimu zaidi baada ya kugraduate vyuo.

Udaktari pamoja na Elimu ila itabaki kuwa ni Wito, inahitaji Umakini, Nidhamu na Patience ya hali ya juu

Unakuta Dr. ni msomi lakini hata kuongea na mgonjwa tu vizuri hawezi
Nakumbuka nikiwa form 3, niliwahi kumuachia daktari makaratasi kwa kutotaka kunisikiliza maelezo yangu. Naingia tu anaandika vipimo, namuuliza mbona hujanisikiliza, we nenda maabara kwanza.

Bila shaka siku hiyo nilimuachia funzo kwa kijana mdogo kugomea upuuzi wake.

Nikaenda private hosp kupata huduma. Madaktari na watoa huduma wote, jifunzeni kusikiliza kwanza.
 
Huwa naamini hakuna binadamu useless, kila mtu pako mahala anafit vizuri.
Mifumo yetu haina setup yakumuweka kila mtu mahala pake matokeo yake ni kila mtu kujikuta yupo tu hapo alipo anatafuta hela ya kula.
 
Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .

Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?

Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).

Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne

Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,

tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .

Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.

Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.

Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.

How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams , such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?

MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .

MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.

Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !

Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .

Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .

Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences

health education system must be preserved at any COST

Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.

Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.



TAFAKARI MTANZANIA !
Quality vs quantity. Sera ya nchi yetu its all about kujaza numbers but si quality.
To be honesty secta ya afya ilitakiwa iweze ku contain some of smartest intdividuals.
Ufaulu wa D for clinical officers sio kigezo kizuri. Tunaetenegeza professionals ambao hawajui wanafanya nini.
 
All student or colleger sat under one measurement test!
No matter what or what, final examination are ONE ONLY, labda baadhi ya vyuo vinashindwa kukidhi teaching equips, na mengineyo madogo madogo lakini muhimu
EX-RIT-SPECIALIST!
Megalodon!
 
Mi nafikiri una point kwamba mfumo wetu wa elimu kuna sehemu tunajikwaa, lakini siyo kila chuo ambacho hukusoma wewe basi kibaya. Kuna vyuo vizuri na sisemi majengo au jina la chuo naongelea wahitimu wa vyuo hivyo na course hizo.

Sibishani nawewe kuhusu baadhi ya wanafunzi kutokuelewa, hilo lipo na lilikuwepo hata hapo MUHAS na kabla ikiwa MUCHS of UDSM.

Wanao sema UDOM ina wahitimu wazuri poia wako sawa, niliona licha ya kuchukua waliofaulu vizuri pia walichukua Clinical Officers wengi pia, na kumbuka hawa clinical officers licha ya kuwa hawakufanya vizuri A level wakaenda kusoma hizo diploma, lakini wana idea ya medicine ni nini au udaktari unatakiwa uweje.

Kumbuka vijana wengi wakiishatoka Tanzania, huwa wanadhani waliobaki kule woote ni wajinga, kwamba hakuna anayeelewa chochote ila wao walio nje, hapana haiko hivyo.

Kumbuka hata ma genius pia hufanya makosa, haimaanishi sasa ni mbumbumbu kabisa.
Hao uliokutana nao wakiwa field labda pia walikuwa na stress, na walijibu kwa uoga tu, na labda leo ni wazuri tu katika ajira zao.

Hata MUCHS watu walikuwa wan fail field, na hata intern walikuwa wana fail pia. Licha ya hivyo, wapo waliokuwa wakirudia miaka na hata ku disco kabisa hapo MUCHS au MUHAS ya sasa.

Wapo waliosoma Urussi, Ukraine, India, Uganda Makerere na kwingineko wako vizuri sana tu. Na wapo walio soma IMTU pia wako vizuri kabisa.

Mi sidhani kama samaki mmoja akioza basi wote wameoza.

Nchi zilizoendelea wana mifumo tofauti, na kumbuka lugha ya kujifunzia pia siyo kwamba kutokuwa compitent kwenye kiingereza basi kunamuondolea mtaaluma ufahamu wake, hapana.

Sijui uko nchi gani lakini, hata Tanzania kuanzisha mitihani kusudi siyo kumkomoa mtu, bali kuwafanya wataalamu wawe compitent.

Marekani wao USMLE wanazo Tatu, hapa kwetu Medical licensing moja tu, bado vijana wetu wana fail.

Ila kumbuka na fail mtu binafsi siyo vyuo alivyosoma.

Maelezo mazuri. Je ni sawa kuwa na D kwenye course za Afya kwa génération ya sasa wakati ufaulu wa sasa ni mkubwa kulinganisha na awali. ?
 
Hahaha siyo kweli, Kwani siku hizi wamezuiliwa kufanya practical? MUHAS wako vizuri tu, unaweza kuta mtu mmoja anashida zake lakini chuo kiko vizuri tu.

Kwenye Afya , MUHAS ndio Kina best and competent students . Nimewahi kufanya kazi na vijana wa Imtu kampala na KCMC wana GPA za 4 above ni catastrophic


Nimewahi kufanya na vijana wa MUHAS hardly kukutana na mtu ana GPA ya 4 mostly walikuawa 2.8 to 3 , but my friend those people are genius smart and hard work and well disciplined

Nilitamani kuongea na mkuu wa MUHAS mnatakiwa ku standard GPA zenu sio kumuandikia mtu 2.8 , that should be 3 above

Mtu wa kampala anakula GPA ya 4.5 then anaenda kufeli professional exams , while MUHAS GPA ya 2.5 anaenda kupata A flat

Unakutana na GPA ya 4,5 Imtu au kampala etc hawezi hata kuchukua pathologie hostory, mfamasia hawezi hata kumsaidia daktari to determine dose especially kwenye calculations zao , halaf ndio ana GPA Ya 4 shame
 
Daktari wa leo ana assitances nyingi sana sababu ya tekinologia ya zana zake za kazi ukilinganisha enzi za Dr.Livingstone.
Yawezekana tunapoenda huko mbele prestigious white collar job kama medical doctor itafanywa tena kwa ufanisi zaidi na Artificial Intelligence devices badala ya Daktari binadamu.
Ukisikia automation sio tu kwenye viwanda ipo hadi hospital kwa maafisa afya,wengi wao watakuwa redundant.
Na Siku chanjo ya malaria itakapopitishwa ujue hospitali nyingi zinaenda kufungwa kwa kukosa wateja.
Yajayo yana........

Umeingia na kutoka Mangi
 
You have a point to ponder, You are very correct! all in all kumbuka Albert einstein alikataliwa kwenda university kuwa uwezo wake ni mdogo, ....and you know the story about the guy!

Wale elimu yao skills based yaani competence based outcome
 
Pamoja na hoja zako ambazo hazina utafiti wa kutosha na wala hazija tumia njia ya kitaalam na ya kitafiti kufikia hitimisho. Unamatumizi mabaya kabisa katika lugha. Yani unachanganya kingereza hukohuko kiswahili andiko linakuwa vurugu.

Ukiwa kama msomi unatakiwa uweze kuwasiliana kwa ufasaha. Vinginevyo utaua wagonjwa kwani watashindwa kukuelewa.

 
Audience analysis haifanyiki na watu wengi wanapo threadika tuepuka kutumia vifupisho ambavyo tuna-assume kila mtu anavijua what is MUHAS AND CUHAS?,pia technical jargons zimetumika Kana kwamba JF Members ni jopo la madaktari mtu aliteishia STD 4 kama Lucas Mwashambwa anaelewa nini unaposema Gynazol.Kwako Dr Megalodon

Niliandika ni nini
 
Nakumbuka nikiwa form 3, niliwahi kumuachia daktari makaratasi kwa kutotaka kunisikiliza maelezo yangu. Naingia tu anaandika vipimo, namuuliza mbona hujanisikiliza, we nenda maabara kwanza.

Bila shaka siku hiyo nilimuachia funzo kwa kijana mdogo kugomea upuuzi wake.

Nikaenda private hosp kupata huduma. Madaktari na watoa huduma wote, jifunzeni kusikiliza kwanza.

Huko Serikalini Acha tu , tena na hizi D qualification entry,ni hatari sana
 
Huwa naamini hakuna binadamu useless, kila mtu pako mahala anafit vizuri.
Mifumo yetu haina setup yakumuweka kila mtu mahala pake matokeo yake ni kila mtu kujikuta yupo tu hapo alipo anatafuta hela ya kula.

Sahihi ndio maana wenzetu wanajua ku positons watu

But kwa TZ mtu Hana vigezo n’a hobby ya Afya but ataenda kuaomea Afya kwa sababu ya ajira za uhakika

But time changes hata hizo Afya ajira ni tabu

So you must learn unapenda nini and be good at it

Mwijaku amejiona yeye ni bora kuwa baba mjinga and he is making up

Be good at it
 
Critical thinking

You will need to reason

Kwenye elimu we don’t focus only na cognitive theory ( mfumo mwingi wa elimu ya TZ ni cognitive based only knowledge)

While mfumo wa mbele au hizi international schools ni wanafocus kwenye mambo 3

1. Psychomoteur ( to ensure students has skills may be multiple skills kwenye maisha)
2. Cognitive ( knowledge)
3. Attitudes ( to have the right attitudes )

Mfumo wa TZ una focus kwenye Cognitive tu
Psychomoteur ni zero
Attitude ni zero

Ndio hao viongozi wa TZ , unakuta mtu Rais au Waziri but still anaiba na kupiga deal .
Cognitive domain
Affective domain
Psychomotor domain
 
Ulipotaja CUHAS tu nikajua hujui unachokiongea. Miongoni mwa vyuo vina products zenye ubora mdogo ni CUHAS . At least KCMC inapokuja kwenye kazi za mikono na practical wanatoa Madaktari wazuri sio CUHAS
CUHAS ni chuo gani?
 
Back
Top Bottom