cha muhimu hapa ni picha au jina kamili la huo mti
Miezi miwili iliyopita nilienda kununua miti ya kuotesha shambani . Mwuuzaji akanieleza kuwa mti fulani ni mzuri maana ni ant mosquito. Nikampuuzia lakini nikaununua -mmoja tu, na nikaupanda mwelekeo wa nyumba upepo unakotokea.
Huu mti umemea vizuri na supprisingly sijaona mbu tena. Je wana JF vipi mliwahi kusikia kitu hii? Ni ya ukweli. Tulikuwa jioni tunaspray dawa za kuua mbu lakini hamna mbuuuu .. Believe me. Jina la mti wenyewe silijui na wale jamaa wansema tu mti wa kufukuza mbu.
Miezi miwili iliyopita nilienda kununua miti ya kuotesha shambani . Mwuuzaji akanieleza kuwa mti fulani ni mzuri maana ni ant mosquito. Nikampuuzia lakini nikaununua -mmoja tu, na nikaupanda mwelekeo wa nyumba upepo unakotokea.
Huu mti umemea vizuri na supprisingly sijaona mbu tena. Je wana JF vipi mliwahi kusikia kitu hii? Ni ya ukweli. Tulikuwa jioni tunaspray dawa za kuua mbu lakini hamna mbuuuu .. Believe me. Jina la mti wenyewe silijui na wale jamaa wansema tu mti wa kufukuza mbu.
haaa haaa.....kiswahili tunaita mti kunuka, sio mbu tu unafukuza hata binadamu. I guess the species is Cedrela odorata (Spanish Cedar)
Upinge picha na unitumie masanilo@jamiiforums.com, ama niPM inaweza kuwa dili!
Kwetu ni kwetu, ulimaanisha huu? Maana huu ndiyo Cedrela odorat. Lakini una sura kama Muarobaini. Labda tupe data zaidi.
Ulinunua wapi na mie nkautafute?
Siku za nyuma nlishawahi kuletea mche, nikaambiwa kuwa huwa unafukuza nbu.
Nilipoupanda ukafa, nikaagiza mche mwingine, na nikaomba maelekezo mazuri zaidi ya kuuotesha.aliyenipa akanimaliza kabisa nguvu,
akasema huo mti ni vigumu kuota mpaka uunuie maneno fulani kwa kuwa hufukuza wachawi pia,
kwa hiyo wachawi wanauangamiza kabla haujawa mkubwa.nikamua niachane nao.
Miezi miwili iliyopita nilienda kununua miti ya kuotesha shambani . Mwuuzaji akanieleza kuwa mti fulani ni mzuri maana ni ant mosquito. Nikampuuzia lakini nikaununua -mmoja tu, na nikaupanda mwelekeo wa nyumba upepo unakotokea.
Huu mti umemea vizuri na supprisingly sijaona mbu tena. Je wana JF vipi mliwahi kusikia kitu hii? Ni ya ukweli. Tulikuwa jioni tunaspray dawa za kuua mbu lakini hamna mbuuuu .. Believe me. Jina la mti wenyewe silijui na wale jamaa wansema tu mti wa kufukuza mbu.
Kamera ake imeingia ukungu. Mti unafukuza hadi kamera!