Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
- Thread starter
- #81
Mfamaji! samahani naomba kuuliza walikwambia ukikua unakuwa mkubwa kiasi gani, ie. mwambe, na je waweza pia kuupanda kwenye vyungu vya maua kama mizi ziz yake sio mikubwa?
Wanasema ukiuacha utakuwa mkubwa lakini unaweza kuucontrol ukawa mfupi wa kivuli. Unaweza ukaupanda kwenye chungu cha maua na ukauweka popote kama plant . Ukiutoa ukaupanda kwenye udongo wa kawaida utakuwa mti.