Mtendaji wa kijiji III halmashauri ya wilaya ya Itigi

Jamii Opportunities

JF-Expert Member
Feb 10, 2014
4,502
1,411
POSTMTENDAJI WA KIJIJI III - 1 POST
EMPLOYERHalmashauri ya Wilaya ya Itigi,
APPLICATION TIMELINE:2024-04-15 2024-04-28
JOB SUMMARYNIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Afisa Masuuli na mtendaji mkuu wa serikali ya kijiji;
  2. Kusimamia ulinzi na usalama wa raia na mali zao, kuwa mlinzi wa amani na msimamizi wa utawala bora katika kijiji;
  3. Kuratibu na kusimamia upangaji wa mipango ya maendeleo ya kijiji;
  4. Katibu wa mikutano na kamati zote za Halmashauri ya kijiji;
  5. Kutafsiri na Kusimamia Sera, Sheria na Taratibu;
  6. Kuandaa taarifa ya utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha wananchi katika kuandaa na kutekeleza mikakati ya kuondoa njaa, umaskini na kuongeza uzalishaji mali;
  7. Kiongozi wa wakuu wa vitengo vya klitaalam katika kijiji;
  8. Kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote na nyaraka za kijiji;
  9. Mwenyekiti wa kikao cha wataalam waliopo katika kijiji;
  10. Kupokea, kusikiliza na kutatua malalamiko na migogoro ya wananchi;
  11. Kusimamia utungaji wa Sheria Ndogo za kijiji; na
  12. Atawajibika kwa Mtendaji Mkuu wa Kata.
QUALIFICATION AND EXPERIENCEKuajiriwa mwenye Elimu ya kidato cha Nne(IV) au Sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo: Utawala,Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
REMUNERATIONTGS B

CLICK HERE TO APPLY
 
Back
Top Bottom