Mdomoni, unameza Moja moja coz zinakua kama Size ya Pipi Kifua za zamani....!Zinamezwa kw anjia ya mdomo au zinaingizwa kwa njia ya haja kubwa?
Du, kama kweli basi kweli pesa ni konyo.. na mahoteli yake yamefunguliwa? Maana zilianza kuwa magofu..nimemkumbuka alikamatwaga na gram kama 250 hivi yeye na mkewe... walishaachiwaga kwa mchongo... wewe bwana hufatilii mambo🤣🤣🤣
Tanga+Mombasa tenaUle mkoa wa TANGA unachukuliwa poa sana sana lakini katika mikoa ina watu wana dili kharamu Tanga stop ,
Cha kushangaza sasa wale mafia wote wauza unga wa Tanga na madili meusi huwakosi kwenye manyumba ya ibada na huwa wanapewa mpaka kusalisha.
Kuna coment hapo juu mdau amesema kuna zoez la kupanuliwa assMdomoni, unameza Moja moja coz zinakua kama Size ya Pipi Kifua za zamani....!
Toeni conection watu tufanye kaziBongo yanabaki mashudu ya Tshillings mzigo wa maana unaenda kwenye Rand na kwa wanaofahamu ukiwa cut zaidi ya asilimia 78 hawachukui wanakuchukua wewe.Mchana nwema Kaka Mrangi.
Heroine haina bei kubwa.Aiseee kumbe.
Mbona hatari sana hii.
Heroine inafukuzana na dhahabu
Sasa Transit ukikamatwa si uzembe wako tu, huyo wenge ndo lilimponza.MKuuu KULE NDIO KULEE MAPITIO YAO SIJUI WALIBADILI VIONGOZI WAKAJA BA SHERIA KALI SANA ANAEKAMATWA NA MADAA WEWEE WOTE WAKAKIMBIA HIO NJIA HUYU FALA NAHISI ALIJISAHAU MASIKNI
Kupanuliwa ass ki vipi!?Kuna coment hapo juu mdau amesema kuna zoez la kupanuliwa ass