Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,879
- 36,670
Kama Lissu anaipigania Tanganyika iliyomezwa anakosa gani? Where is Tanganyika?
Kwanini hakuna mamlaka ya bara inayoweza kuvuka bahari huku mamlaka ya Zanzibar inaweza kuvuka bahari?
Watanganyika wenye vyeo acheni ujinga, wajukuu zenu watasema wazee wetu walikuwa matahira kwa mienendo yenu.
Fedha zinaishia, vyeo vinapita.
Kwanini hakuna mamlaka ya bara inayoweza kuvuka bahari huku mamlaka ya Zanzibar inaweza kuvuka bahari?
Watanganyika wenye vyeo acheni ujinga, wajukuu zenu watasema wazee wetu walikuwa matahira kwa mienendo yenu.
Fedha zinaishia, vyeo vinapita.