toplemon JF-Expert Member Mar 26, 2017 4,580 4,632 Jan 28, 2024 Thread starter #21 Hannah said: Usiwe unazima friji kabisa umeme ukiwepo. Hata umeme ukiwa mdogo litafanya kazi maana halitahitaji umeme mwingi kujiendesha. Click to expand... Nilikua sizimag friji kabisa lakini umeme huu wa kuyumba yumba noo
Hannah said: Usiwe unazima friji kabisa umeme ukiwepo. Hata umeme ukiwa mdogo litafanya kazi maana halitahitaji umeme mwingi kujiendesha. Click to expand... Nilikua sizimag friji kabisa lakini umeme huu wa kuyumba yumba noo
M Mtutuwandei JF-Expert Member Jun 28, 2022 981 1,311 Jan 28, 2024 #24 Umeme ukiwa mdogo zima friji, friza, ac na vyombo vyengine vyenye mota. Visipozimwa mota zinapata moto sana na vinaweza kuunguwa.
Umeme ukiwa mdogo zima friji, friza, ac na vyombo vyengine vyenye mota. Visipozimwa mota zinapata moto sana na vinaweza kuunguwa.
dronedrake JF-Expert Member Dec 25, 2013 23,400 55,523 Jan 28, 2024 #25 toplemon said: Jee ikitokea nimepata kubwa ya hiyo?? Click to expand... Itakuwa safi, vyema kabla kununua ukapost hapa specs zake hasa hapo kwenye 140-260V
toplemon said: Jee ikitokea nimepata kubwa ya hiyo?? Click to expand... Itakuwa safi, vyema kabla kununua ukapost hapa specs zake hasa hapo kwenye 140-260V
Lax JF-Expert Member Feb 10, 2022 2,592 3,678 Jan 28, 2024 #26 Chogo la hapa home juzi kati tu aamka haliwaki ike taa ya standby inamwekua mwekua tu. Nawalaani tanesco
Chogo la hapa home juzi kati tu aamka haliwaki ike taa ya standby inamwekua mwekua tu. Nawalaani tanesco