Nadhani hakuna kipindi umeme ni tatizo kama sasa

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,083
18,177
Nyumbani kwangu ni siku ya pili leo taa haziwaki, friji haliwaki kabisa,AC inajiwasha na kujizima, even feni zinatoa upepo mdogo kwasababu ya umeme mdogo!!

Umeme umekua mdogo kiasi kwamba kitu kinawaka hapa ni tv na redio tu

Sijawahi kuona majanga kama haya, hali ya umeme ni mbaya sana nchi hii

Na bado wanakatakata hovyo tu, halafu kuna mtu nzima mmoja anakata keki huko, hii nchi tuna hasara sana, yule mtu ni mzigo kwa taifa letu ni careless kabisa

Ukiangalia utagundua tatizo sio tanesco bali kuna wakubwa wana mkono kwenye hili.
 
Huyo bibi hajali.

Mbaya zaidi ni akili ndogo.

Ukiongezea na chawa wanamsifia kwa unafiki ni hatari zaidi.

Samia will go down as one of the worst presidents in Tanzania history.

Watanzania wafahamu serikali inayoshindwa kuachieve hata basic social needs kama vile umeme, maji, afya ni serikali inayotakiwa kufurushwa madarakani.

Shenzi kabisa.
 
Nyumbani kwangu ni siku ya pili leo taa haziwaki, friji haliwaki kabisa,AC inajiwasha na kujizima, even feni zinatoa upepo mdogo kwasababu ya umeme mdogo!!

Umeme umekua mdogo kiasi kwamba kitu kinawaka hapa ni tv na redio tu

Sijawahi kuona majanga kama haya, hali ya umeme ni mbaya sana nchi hii

Na bado wanakatakata hovyo tu, halafu kuna mtu nzima mmoja anakata keki huko, hii nchi tuna hasara sana, yule mtu ni mzigo kwa taifa letu ni careless kabisa

Ukiangalia utagundua tatizo sio tanesco bali kuna wakubwa wana mkono kwenye hili.
Nashangaa kunamitaahira humu ndani inamwona bonge la kiongozi, yaani wabongo tumelogwa, huyu bibi ni hamna kitu kabisa.
 
Nyumbani kwangu ni siku ya pili leo taa haziwaki, friji haliwaki kabisa,AC inajiwasha na kujizima, even feni zinatoa upepo mdogo kwasababu ya umeme mdogo!!

Umeme umekua mdogo kiasi kwamba kitu kinawaka hapa ni tv na redio tu

Sijawahi kuona majanga kama haya, hali ya umeme ni mbaya sana nchi hii

Na bado wanakatakata hovyo tu, halafu kuna mtu nzima mmoja anakata keki huko, hii nchi tuna hasara sana, yule mtu ni mzigo kwa taifa letu ni careless kabisa

Ukiangalia utagundua tatizo sio tanesco bali kuna wakubwa wana mkono kwenye hili.
Tanesco wamesema tatizo limesababishwa na hizi mvua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada nzuri na issue hii ya tanesco sio ngeni kabisa hapa nchini, but why watanzania wapo kimya na hakuna push back towards tanesco?why watu wamekua waoga hata kudai haki zao za kikatiba?,hivi hakuna watanzania watakao kwenda kwenye ofisi za Tanesco na kufanya peaceful protest ili ujumbe uwafikie?,humu ndani ya JF ni kulalama tu hakuna lolote litakalotokea, tuelewe royal families hawana matatizo ya umeme, kwao umeme ni 24 hrs upo on
 
Nyumbani kwangu ni siku ya pili leo taa haziwaki, friji haliwaki kabisa,AC inajiwasha na kujizima, even feni zinatoa upepo mdogo kwasababu ya umeme mdogo!!

Umeme umekua mdogo kiasi kwamba kitu kinawaka hapa ni tv na redio tu

Sijawahi kuona majanga kama haya, hali ya umeme ni mbaya sana nchi hii

Na bado wanakatakata hovyo tu, halafu kuna mtu nzima mmoja anakata keki huko, hii nchi tuna hasara sana, yule mtu ni mzigo kwa taifa letu ni careless kabisa

Ukiangalia utagundua tatizo sio tanesco bali kuna wakubwa wana mkono kwenye hili.
 

Attachments

  • F30H0MQbsAAtF9n.jpeg
    F30H0MQbsAAtF9n.jpeg
    25.5 KB · Views: 3
B
Mada nzuri na issue hii ya tanesco sio ngeni kabisa hapa nchini, but why watanzania wapo kimya na hakuna push back towards tanesco?why watu wamekua waoga hata kudai haki zao za kikatiba?,hivi hakuna watanzania watakao kwenda kwenye ofisi za Tanesco na kufanya peaceful protest ili ujumbe uwafikie?,humu ndani ya JF ni kulalama tu hakuna lolote litakalotokea, tuelewe royal families hawana matatizo ya umeme, kwao umeme ni 24 hrs upo on
Bro TANESCO ni majani tuu mizizi ni viongozi ndo wameshikilia hii issue,TANESCO wamewekwa kama chambo tuu na tutawalaumu sana tuu badala ya kulaumu viongozi wa sekta husika
 
Nyumbani kwangu ni siku ya pili leo taa haziwaki, friji haliwaki kabisa,AC inajiwasha na kujizima, even feni zinatoa upepo mdogo kwasababu ya umeme mdogo!!

Umeme umekua mdogo kiasi kwamba kitu kinawaka hapa ni tv na redio tu

Sijawahi kuona majanga kama haya, hali ya umeme ni mbaya sana nchi hii

Na bado wanakatakata hovyo tu, halafu kuna mtu nzima mmoja anakata keki huko, hii nchi tuna hasara sana, yule mtu ni mzigo kwa taifa letu ni careless kabisa

Ukiangalia utagundua tatizo sio tanesco bali kuna wakubwa wana mkono kwenye hili.
 

Attachments

  • VID-20230923-WA0204.mp4
    19.3 MB
Huyo bibi hajali.

Mbaya zaidi ni akili ndogo.

Ukiongezea na chawa wanamsifia kwa unafiki ni hatari zaidi.

Samia will go down as one of the worst presidents in Tanzania history.

Watanzania wafahamu serikali inayoshindwa kuachieve hata basic social needs kama vile umeme, maji, afya ni serikali inayotakiwa kufurushwa madarakani.

Shenzi kabisa.
Na bado wanataka wamuongezee mitano tena, tunaenda kuwa na taifa la ajabu haijawahi kutokea.
Bibi yetu kila jambo la taifa hili ni kama limemshinda yaani yuko hoi hajiwezi. Na bado tunapiga Chapuo la kutolewa fomu moja ya mgombea wa ccm.

Nadhani anatakiwa awe muungwana tu atosheke na hiki kipindi kimoja aliache taifa liendeshwe na rais mwingine huenda akalitendea haki.
 
Huyo bibi hajali.

Mbaya zaidi ni akili ndogo.

Ukiongezea na chawa wanamsifia kwa unafiki ni hatari zaidi.

Samia will go down as one of the worst presidents in Tanzania history.

Watanzania wafahamu serikali inayoshindwa kuachieve hata basic social needs kama vile umeme, maji, afya ni serikali inayotakiwa kufurushwa madarakani.

Shenzi kabisa.
Na bado wanataka wamuongezee mitano tena, tunaenda kuwa na taifa la ajabu haijawahi kutokea.
Bibi yetu kila jambo la taifa hili ni kama limemshinda yaani yuko hoi hajiwezi. Na bado tunapiga Chapuo la kutolewa fomu moja ya mgombea wa ccm.

Nadhani anatakiwa awe muungwana tu atosheke na hiki kipindi kimoja aliache taifa liendeshwe na rais mwingine huenda akalitendea haki
 
Back
Top Bottom