Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,479
- 2,325
Hakika wenye AKILI KUBWA ndio maana tunasema bila KATIBA MPYA itakayounda UPYA Vyombo vyote vinavyosimamamia UCHAGUZI Nchini.
VYAMA Kuendelea kushiriki CHAGUZI chini ya KATIBA hii inayompa MADARAKA Rais kuteua WAKURUGENZI wa Wilaya Miji na Wakurugenzi hao hao ni Wajumbe wa Mikutano ya CCM kuja KUSIMAMIA UCHAGUZI ni KUPOTEZA MUDA.
KATIBA iliyopo ndiyo iliyounda TUME ya UCHAGUZI TUME ambayo Mwenyekiti na KATIBU wake wote ni WATEULE wa Mgombea URAIS
Je unatarajia HAKI na UHURU wa TUME hiyo kwa VYAMA vya UPINZANI utatoka wapi?
Leo MKURUGENZI wa JIJI la Mwanza ndiye atasimamia Uchaguzi ktk lile JIJI Atatendaje HAKI kwa Upinzani wakati Rais ambaye ndiye kampa UKURUGENZI anagombea Mkurugenzi huyo huyo ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM akiwakilisha wilaya Kinondoni Kumbuka Aliyemteua kuwa Mkurugenzi ndiye Mwenyekiti wa CCM anayoiwakilisha.
Vyama vya Upinzani kushiriki Uchaguzi kwa Mazingira haya ni KUPOTEZA MUDA wenu.
VYAMA Kuendelea kushiriki CHAGUZI chini ya KATIBA hii inayompa MADARAKA Rais kuteua WAKURUGENZI wa Wilaya Miji na Wakurugenzi hao hao ni Wajumbe wa Mikutano ya CCM kuja KUSIMAMIA UCHAGUZI ni KUPOTEZA MUDA.
KATIBA iliyopo ndiyo iliyounda TUME ya UCHAGUZI TUME ambayo Mwenyekiti na KATIBU wake wote ni WATEULE wa Mgombea URAIS
Je unatarajia HAKI na UHURU wa TUME hiyo kwa VYAMA vya UPINZANI utatoka wapi?
Leo MKURUGENZI wa JIJI la Mwanza ndiye atasimamia Uchaguzi ktk lile JIJI Atatendaje HAKI kwa Upinzani wakati Rais ambaye ndiye kampa UKURUGENZI anagombea Mkurugenzi huyo huyo ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM akiwakilisha wilaya Kinondoni Kumbuka Aliyemteua kuwa Mkurugenzi ndiye Mwenyekiti wa CCM anayoiwakilisha.
Vyama vya Upinzani kushiriki Uchaguzi kwa Mazingira haya ni KUPOTEZA MUDA wenu.