Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,588
- 22,149
Ulikuwa na orodha ndefu ya wanawake wa kuoa, Ila uliwatupilia mbali wengine wote na ukamchagua hiyo uliyenaye leo. Ni hakika ulichagua saizi yako, ulichagua binti ambaye alikamilisha utu wako, ulichagua binti anayelingana na mambo yanayokuvutia.
Ulipokutana naye kwa mara ya kwanza, ulivutiwa na uzuri wake, tabia na ndoto zake. Nini kimekupata muda mfupi tu baada ya kuoa hadi ulalamike kuhusu chaguo lako mwenyewe?
Biblia inasema.... "Mfurahie mke wa ujana wako". - Mithali 5 :18.
Kutofautiana kila na mkeo kunaweza kuzuia maombi yako yasifike kwa Mungu (1 Pet 3:7).
Unapiga kelele "kwanini Mungu hajibu maombi yangu"? Mungu anajibu "Kwa sababu umekosa uaminifu kwa mke wako. Amekuwa mwaminifu kwako. Uwe mwaminifu kwake, maana nachukia talaka." Malaki 2:14 - 16.
Mke mwenye furaha, maisha ya furaha. Furaha ya pamoja kwenu nyote ni furaha maradufu;huzuni ya pamoja ni nusu ya huzuni.
Usitafute mwanamke sahihi, bali kuwa mwanaume sahihi. Unaye mwanamke sahihi kwa sasa. Perfect women don't exist this side of heaven.
Mshike sana huyo uliyenaye.
Ubarikiwe.
Ulipokutana naye kwa mara ya kwanza, ulivutiwa na uzuri wake, tabia na ndoto zake. Nini kimekupata muda mfupi tu baada ya kuoa hadi ulalamike kuhusu chaguo lako mwenyewe?
Biblia inasema.... "Mfurahie mke wa ujana wako". - Mithali 5 :18.
Kutofautiana kila na mkeo kunaweza kuzuia maombi yako yasifike kwa Mungu (1 Pet 3:7).
Unapiga kelele "kwanini Mungu hajibu maombi yangu"? Mungu anajibu "Kwa sababu umekosa uaminifu kwa mke wako. Amekuwa mwaminifu kwako. Uwe mwaminifu kwake, maana nachukia talaka." Malaki 2:14 - 16.
Mke mwenye furaha, maisha ya furaha. Furaha ya pamoja kwenu nyote ni furaha maradufu;huzuni ya pamoja ni nusu ya huzuni.
Usitafute mwanamke sahihi, bali kuwa mwanaume sahihi. Unaye mwanamke sahihi kwa sasa. Perfect women don't exist this side of heaven.
Mshike sana huyo uliyenaye.
Ubarikiwe.