labda ufanye application upyaa
me sijawai kumuona mtu akihama chuo.. nahisi ni haiwezekaninaulzia kuhama sio kure apply
sem hujui sio haiwezekan.....hcho kitu kipo mzeeme sijawai kumuona mtu akihama chuo.. nahisi ni haiwezekani
kiaje???nieleweshe mzeeKipo but nicostful
sem hujui sio haiwezekan.....hcho kitu kipo mzee
nimechaguliw MD st joseph sasa nataka nihame........Kama umechaguliwa vyuo vya afya au ualimu au kilimo au community development unaweza ama nadhani.
Lakini sio uhame CBE uende IFM au NIT au TAA hapo haiwezekani.
Yani unaweza ama for same course kwenye vyuo ambavyo vipo chini ya Mwavuli mmoja. Mfano Public service Mtwara, Tanga, magogoni Nk
dah hapo kuhaso broooKuhama unaweza, ila panatakiwa uwe fighter kwel utaingia ofic ambazo hukutarajia,
Kwanza kabisa nenda chuo ulichochaguliwa fanya usajili kila kitu, then nenda katafute nafasi sehem unayotaka kuhamia, nenda ofcn moja kwa moja usiogope, utapewa utaratibu otee, utajaza fom yao, baada ya week tu watakuwa wamekupa feedback
Note, bro alihama kutoka saut mpaka udsm na iliwezekana japo alihasoo
Kama unamkopo ndio hatar zaid, utapiga mguu loan Board mpaka hutaamindah hapo kuhaso brooo
yah nna mkopo bro.....cjui inakuwaje hapoKama unamkopo ndio hatar zaid, utapiga mguu loan Board mpaka hutaamin
Unaweza kula boom lako semister ya pili,yah nna mkopo bro.....cjui inakuwaje hapo
ko boom la semester ya kwanza sitapewa au..?.afu hyo semester ya pili nitapewa na boom la semester ya kwanza????Unaweza kula boom lako semister ya pili,
Japo utapewa ela zako zote, so kama umejipanga unaweza amua
Mkuu hio semister ya kwanza unakuwa unahasoo kuhamisha mkopo kutoka chuo ilichotoka kwenda unachohamia....ko boom la semester ya kwanza sitapewa au..?.afu hyo semester ya pili nitapewa na boom la semester ya kwanza????
asante mkuu...ko procidure za kuhama zinakuwaje??Mkuu hio semister ya kwanza unakuwa unahasoo kuhamisha mkopo kutoka chuo ilichotoka kwenda unachohamia....
Kuhama ni simple sana lakini kama una mkopo utasota sana maana mm yalinikuta hayo lkn saiv na enjoy maana heslb walishauhamisha na saiv naingia third yearkama kuna mtu anajua jinai ya kuhama chuo kimoja kwenda kingine.....procidures....je na kwa muda huu naweza kuhama???
ko jinsi ya kuhama???Kuhama ni simple sana lakini kama una mkopo utasota sana maana mm yalinikuta hayo lkn saiv na enjoy maana heslb walishauhamisha na saiv naingia third year