Msaada wa kuverify watsapp

Baba Moreen

Member
Nov 2, 2019
82
108
Habari za majukumu wakuu,

Nilikuwa natumia watsapp mods (Fouad mods), lakini ghafla ilianza kuwa na version nyingi nikaamua kuhamia watsapp official kuanzia majuzi, nilifuta Fouad mods nikadownload watsapp messenger official,..

Shida no kuwa toka ni download watsapp messenger, siwezi kupata verification code na inasema kuwa sina watsapp official ingawa watsapp official ninayo na nimedownload kwenye site ambayo watsapp help center wamenitumia kupitia email.

Nimejaribu kuwatafuta watsapp help center kupitia email yao lakini bado changamoto ipo na wao wanakazia kuwa nidownload watsapp official (wakati ninayo tayari).

Naombeni msaada wa namna bora ya kusolve shida hii na nipate verification code..
kuna muda inasema nisubiri saa 1 likiisha bado inaleta taarifa kuwa natumia unofficial app

Chief-Mkwawa
 
Hali ipo hivi.

Asanteni sana wakuu.
IMG_20240428_100713.jpg
 
Nimebadili namba imekubali vizuri sana...shida namba yenye shida ndio namba official inayotambulika kwenye kutafutia riziki mkuu.
Hapo kua mpole tu itachukua muda kuja kukaa sawa,,,,hio shida nimeiona kwenye namba nyingi zilizokua hazitumii watsap original ila baadae zinakaa sawa
 
Nimebadili namba imekubali vizuri sana...shida namba yenye shida ndio namba official inayotambulika kwenye kutafutia riziki mkuu.
Je, email address uliyotumia hapo mwanzo kwenye WhatsApp uliyoondoa imebaki kuwa ile ile au umebadilisha?
Kama umebadilisha, basi ujue kwamba hiyo ni chanzo cha tatizo hili lililopo. Download app na Kisha ujisajiri upya kwa kutumia email address ile ile uliyotumia hapo mwanzo. Utaona inakubali
 
Au jaribu kuchange number baada ya kuingia na hio namba mpya nenda settings, account halafu change number uweke hio inayosumbua ,uone kama itakubali
Mkuu nimejaribu imegoma....inanirudisha sehemu ya kujaza verification code (OTP) , na huko ndio inasema nidownload official watsapp while ninayo tayari
 
Mkuu nimejaribu imegoma....inanirudisha sehemu ya kujaza verification code (OTP) , na huko ndio inasema nidownload official watsapp while ninayo tayari
Ilishawahi kunitokea hio,,,sema baadae yenyewe ikaja kukubali,,sijui shida inakuaga ni nini
 
Hapo mwanzo uli-verify kwa kutumia njia gani? Email address, SMS kupitia namba yako ya simu, au account ya social media kama vile Facebook, Twitter, etc?
Nilitumia sms mkuu na nimeomba niverify kupitia njia ya email wamegoma wamesema watsapp huverify kupitia namba ya simu tu
 
Hapo kua mpole tu itachukua muda kuja kukaa sawa,,,,hio shida nimeiona kwenye namba nyingi zilizokua hazitumii watsap original ila baadae zinakaa sawa
Kama hapa mwanzo alitumia app fake ya WhatsApp, basi huenda namba yake inaweza ikawa imekuwa shortlisted ktk Whitelist au Blacklist na kampuni ya WhatsApp. Endapo kama namba yake imekuwa Whitelisted, Basi baadaye siku kadhaa zijazo anaweza akajisajiri upya, lakini kama namba yake iko Blacklisted, basi hataweza tena kujisajiri kwa namba hiyo. Itakuwa banned permanently.
 
Kama hapa mwanzo alitumia app fake ya WhatsApp, basi huenda namba yake inaweza ikawa imekuwa shortlisted ktk Whitelist au Blacklist na kampuni ya WhatsApp. Endapo kama namba yake imekuwa Whitelisted, Basi baadaye siku kadhaa zijazo anaweza akajisajiri upya, lakini kama namba yake iko Blacklisted, basi hataweza tena kujisajiri kwa namba hiyo. Itakuwa banned permanently.
Hio haijawa banned ,sema itachukua muda hadi ikae sawa
 
Kama hapa mwanzo alitumia app fake ya WhatsApp, basi huenda namba yake inaweza ikawa imekuwa shortlisted ktk Whitelist au Blacklist na kampuni ya WhatsApp. Endapo kama namba yake imekuwa Whitelisted, Basi baadaye siku kadhaa zijazo anaweza akajisajiri upya, lakini kama namba yake iko Blacklisted, basi hataweza tena kujisajiri kwa namba hiyo. Itakuwa banned permanently.
aiseh mbona hatari hii...ngoja nisubiri nione mkuu response yao
 
Back
Top Bottom