sawaUwe unakula kitimoto kabla ya kukutana naye, mambo yataenda safi, yeye mwenyewe atakukumbatia na kukupiga vikofi vya kimahaba, na mnara utasoma 4G,
PIa,
Unaweza kuweka mfupa wa nguruwe kwenye suruali yako au chini ya shuka la kitandani kwako.
IKISIMAMA NA UKAFANIKIWA BASI UJUE HANA MAJINI
NB: Try at your own risk
Mwambie akueleze ukwel pengne alkuwa na jamaa kabla yako na jamaa ndo kamfanyia hvyo. Kuna rfk yng aliwah fanyiwa hvyo na dem wake alimuacha dem jamaa akawa na mwanamke mwngne kla akkutana na huyo mwanamke mpya dushee haicmam ikabd arud kwa yule wa mwazno ishu frsh akaongea nae yule dem akamfungua tatzo na jamaa anapga show za nje kama kawa.mkunyege ndo kitu gani?
njia ipi mkuu nisaidieHaya yapo tena sana
Hata kwa dawa hufanyikaga, kuna wazee vijijini wanawafanyia mabinti zao au wake zao wadogo,
binti anategwa na wazee wake mwanaume ambaye hayuko vizuri pia, mzigo haupandi mnara..
Au kama mwanamke akiwa na majini mahaba, wakiba succubi na alikes shida kama hiii hutokea,
Tafuta namna ya kusolve, njia zipo nyingi, chagua uipendayo
Njia za kiimani tu mkuuu.njia ipi mkuu nisaidie
Itakua uyo demu kafungwa sio bureAiseee iyo hatar asee..
Wanawake wengine unakuta aliwah date namtu huko, alafu akamuacha, sasa kwa hasira muhuni anaenda kumfunga kabisa kabisaaaa.
Kuna Jamaa alimsomesha demu ,mpaka akapata ajira... Baadae demu akamkataa jamaaa... Jamaa alichofanya Alimwendea demu kwamganga...mpaka leo demu anamanyonyo makubwaaaa yaaan makubwaaaaaaa alafu yananing'iniaaa ,hajawah pata mwanaume mpaka muda huuu