Msaada: NSSF fao la uzazi

Kitumburee

Senior Member
Jan 31, 2012
139
88
Habari zenu wana jamvi,

Nina swali kwa mwenye uzoefu au anaefahamu anijuze, imeainishwa kua fao la uzazi NSSF linatolewa kwa mwanachama mwenye michango 36 ktk mfuko na michango 12 iwe imelipwa mfulilizo kabla ya tarehe ya kujifungua.

Je, mwanachama ambae ana michango NSSf ya miezi 16 mfululizo kabla ya tarehe ya kujifungua lakini pia ana michango ya miaka 8 ktk mfuko wa PPF ambao kwa sasa umehamishiwa PSSF baada ya mifuko kuungana.

Je, Ni kweli ukipeleka ombi la kupewa fao la uzazi kwa kuambatanisha na statement ya michango yake ya PPF atakua amekizi vigezo na atapatiwa fao la uzazi?

Nitafatilia hili suala NSSF siku za mbeleni ila kwa sasa anaefahamu anijuze.

Shukrani
 
Mimi Nina michango 72 sasa yaani miaka 6 ila PSSSF wamenilipa mapema hata sikutarajia kabisa, ndani ya miezi 2 wamelipa wakati zamani ulikuwa unakaa mpaka mtoto anaongea na kukimbia.
 
Habari zenu wana jamvi,

Nina swali kwa mwenye uzoefu au anaefahamu anijuze, imeainishwa kua fao la uzazi NSSF linatolewa kwa mwanachama mwenye michango 36 ktk mfuko na michango 12 iwe imelipwa mfulilizo kabla ya tarehe ya kujifungua.

Je, mwanachama ambae ana michango NSSf ya miezi 16 mfululizo kabla ya tarehe ya kujifungua lakini pia ana michango ya miaka 8 ktk mfuko wa PPF ambao kwa sasa umehamishiwa PSSF baada ya mifuko kuungana.

Je, Ni kweli ukipeleka ombi la kupewa fao la uzazi kwa kuambatanisha na statement ya michango yake ya PPF atakua amekizi vigezo na atapatiwa fao la uzazi?

Nitafatilia hili suala NSSF siku za mbeleni ila kwa sasa anaefahamu anijuze.

Shukrani
Kwa ninavyoelewa suala hili halihitaji mbamba wala mambo mengi mwanachama anakuwa na sifa za kupata Fao la Uzazi, Lakini nasikia Mwanachama hiyo huyo Akikaa zaidi ya siku 86 baada ya kujifungua na hajafungua madai anakuwa hana sifa ya kupata yale mapene ambayo ni mishahara yake ya miezi mitatu, ndio navyojua
 
Mimi Nina michango 72 sasa yaani miaka 6 ila PSSSF wamenilipa mapema hata sikutarajia kabisa, ndani ya miezi 2 wamelipa wakati zamani ulikuwa unakaa mpaka mtoto anaongea na kukimbia.
Hiin ndio kazi iendelee yani Serikali ina unyama mwingi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom