Kwanini NSSF hawatoi Fao la uzazi kwa Mwanaume ambaye anajukumu la Kulea Familia?

Makamura

JF-Expert Member
May 19, 2022
358
557
Malalamiko ni mengi juu ya utoaji wa fao la uzazi, Hivyo tunataka kujua kwanini wanao nao wasipewe Fao hili Kwasababu ndio manajukumu kubwa la kulea Familia hivyo wanahitaji Fao hili ili kuwawezesha Nao kuweza Kukimu uzazi na baada ya Uzazi na maisha kipindi cha uzazi kiujumla

sad-doctor-leaning-wall (1).jpg
 
Back
Top Bottom