Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

Ndugu zangu kabla sijaendelea kuna mambo machache nilitamani kuyasema:

Kwanza, unapomuona mtu amekuja kuomba ushauri JF unapaswa umshauri na sio kumtukana, kumkejeli na kashfa nyingine nyingi. Kila mtu anakosea, usijione wewe ni mkamilifu sana kiasi cha kuwa na haki ya kutukana wenzio.

Pili, kuna wazee wa kudai muendelezo hawa watu wanakera sana, unaomba ushauri, wao wanaomba muendelezo inamaana hata ukifa ni sawa tu kikubwa wao wapate muendelezo.

Tatu, napenda kuwashukuru wanajf wafuatao kwa ushauri wao Nuzulati DR HAYA LAND Wakilimkuu , laskaboza Lubebenamawe Excel na wengine wote walionipa ushauri ambao kwa namna moja au nyingine umeniwezesha mimi kuwa hapa nilipo leo.

Nyie wenye akili, msiokosea, Malaika watakatifu njooni tena mnitukane. Haiwezekani mtu anakutukana kama vile anakulisha… tuache mambo ya ajabu… kila mtu anakosea… kukosea kwangu kidogo kusifanye nionekane kama mimi ndo mkuu wa wenyedhambi….

…….. ……….. ……….

Tuendelee…

jana nilikamilisha mchakato wa kuuza vitu vyangu vyote, (usiombe uuze kitu ukiwa na shida mtu ananunua kama vile hataki, tena kwa bei anayotaka yeye…) niliuza mpaka simu yangu ya mkononi nikanunua nyingine, laini pia nimesajiri nyingine. Mara ya mwisho nimewasiliana na huyo mwanamke jana asubuhi, nikaahidi Kwenda kumuona, japo sikuthubutu Kwenda. Sasa niko kwenye gari, nimeamua kurudi kwanza nyumbani ili nijipange nianze mapambano ya kutafuta Maisha upya… sina mawasiliano na huyo mwanamke kwa sasa, japo namba zake ziko kichwani na sijui zitatokaje. Ila nimepanga niwe napeleleza taratiru na nikigundua kuwa mme wake amemuacha ki ukweli ukweli ntaenda tu nimtafute ili tuweze kuendeleza Maisha yetu Pamoja. Kusema kweli kuna chemistry Fulani nzuri sana kati yetu na naamini tutafika mbali… (japo namuomba Mungu amsaidie wayamalize haya mambo na mmewe and finally waishi vyema)

Samahani kwa wote ambao story yangu itakuwa imewakera kwa namna moja au nyingine ila ndo Maisha haya… pia NAOMBA MSAMAHA kwa mme wa mwanamke huyo iwapo atauona ujumbe wangu naomba anisamehe sana I know it hurt… (sometimes life lose its purpose and everything become a mess)

kwa mama jay (kipenzi changu) I chose to be your friend but falling in love with you was out of my control…


Rag’n’Bone Man -
Human
Only human after all don't put a blame on me!!!wimbo huwa naupenda sana.
 
Kwakuwa wewe, huyo mwanamke na mumewe ni watu wazima, kisheria nyote mnawajibika na maamuzi yenu. Wewe ulikutana na mwanamke na baada ya kukwambia yeye ni mke wa mtu tena mwenye watoto uliridhia kuanzisha mahusiano nae bila kuwa na doubt yoyote. Mwanamke kwa ridhaa yake na utashi aliamua kuanzisha mahusiano na wewe akijua wazi yeye ni mke wa mtu ila akataka kuwa na wewe pembeni ya mume wake. Jamaa amegundua unatafuna mkewe kaamua kukuachia ingawa kishingo upande lakini akaona ni bora akuachie ili asiendelee kuishi kwa mashaka.

Sasa sioni shida ipo wapi upande wako kwasababu wewe ulimtaka mwanamke na mwanamke amekutaka nyote mlilidhiana na kuwa tayari kupendana ingawa hamkuwa mkiishi pamoja. Kitendo hadi huyo mwanamke alianza na wewe mahusiano halafu baadae akashtukiwa na mumewe but still akaendelea na wewe it means alitaka wewe uwe mbadala wa mume wake.

Sasa mwanaume kutumia hekima, hajamdhuru mkewe ameamua tu kukuachia umchukue ili muwe huru. Sasa mbona unaanza kulalamika na kujitetea kwa hofu?

Kwani wewe si ndicho ulichotaka hicho kuwa na huyo mwanamke, why unaogopa kuweka ndani mali hiyo ufanye nayo maisha au unaogopa na wewe itakupiga matukio kama ya mwenzako?

Chukua mke huyo anza nae maisha, sometimes mke mwema anatoka kwa bwana.
 
Issue sio kuoa ndugu yangu. Issue huyu ni Mke wa mtu. Namuoaje duh! Mi sijui hata kesho yangu... Inauma sana
Jamaa amekuachia na ameshavuta mke mpya, unasemaje mke wa mtu tena na umeshapewa umalizane nae mwenyewe?

Muelekeze makazi mapya huyo mwanamke aje alale. We unataka mwenzako akalale wapi ebo?
 
Kwakuwa wewe, huyo mwanamke na mumewe ni watu wazima, kisheria nyote mnawajibika na maamuzi yenu. Wewe ulikutana na mwanamke na baada ya kukwambia yeye ni mke wa mtu tena mwenye watoto uliridhia kuanzisha mahusiano nae bila kuwa na doubt yoyote. Mwanamke kwa ridhaa yake na utashi aliamua kuanzisha mahusiano na wewe akijua wazi yeye ni mke wa mtu ila akataka kuwa na wewe pembeni ya mume wake. Jamaa amegundua unatafuna mkewe kaamua kukuachia ingawa kishingo upande lakini akaona ni bora akuachie ili asiendelee kuishi kwa mashaka.

Sasa sioni shida ipo wapi upande wako kwasababu wewe ulimtaka mwanamke na mwanamke amekutaka nyote mlilidhiana na kuwa tayari kupendana ingawa hamkuwa mkiishi pamoja. Kitendo hadi huyo mwanamke alianza na wewe mahusiano halafu baadae akashtukiwa na mumewe but still akaendelea na wewe it means alitaka wewe uwe mbadala wa mume wake.

Sasa mwanaume kutumia hekima, hajamdhuru mkewe ameamua tu kukuachia umchukue ili muwe huru. Sasa mbona unaanza kulalamika na kujitetea kwa hofu?

Kwani wewe si ndicho ulichotaka hicho kuwa na huyo mwanamke, why unaogopa kuweka ndani mali hiyo ufanye nayo maisha au unaogopa na wewe itakupiga matukio kama ya mwenzako?

Chukua mke huyo anza nae maisha, sometimes mke mwema anatoka kwa bwana.
Mmmhhhh
 
Jamaa amekuachia na ameshavuta mke mpya, unasemaje mke wa mtu tena na umeshapewa umalizane nae mwenyewe?

Muelekeze makazi mapya huyo mwanamke aje alale. We unataka mwenzako akalale wapi ebo?
Ety mwenzio
 
Kwakuwa wewe, huyo mwanamke na mumewe ni watu wazima, kisheria nyote mnawajibika na maamuzi yenu. Wewe ulikutana na mwanamke na baada ya kukwambia yeye ni mke wa mtu tena mwenye watoto uliridhia kuanzisha mahusiano nae bila kuwa na doubt yoyote. Mwanamke kwa ridhaa yake na utashi aliamua kuanzisha mahusiano na wewe akijua wazi yeye ni mke wa mtu ila akataka kuwa na wewe pembeni ya mume wake. Jamaa amegundua unatafuna mkewe kaamua kukuachia ingawa kishingo upande lakini akaona ni bora akuachie ili asiendelee kuishi kwa mashaka.

Sasa sioni shida ipo wapi upande wako kwasababu wewe ulimtaka mwanamke na mwanamke amekutaka nyote mlilidhiana na kuwa tayari kupendana ingawa hamkuwa mkiishi pamoja. Kitendo hadi huyo mwanamke alianza na wewe mahusiano halafu baadae akashtukiwa na mumewe but still akaendelea na wewe it means alitaka wewe uwe mbadala wa mume wake.

Sasa mwanaume kutumia hekima, hajamdhuru mkewe ameamua tu kukuachia umchukue ili muwe huru. Sasa mbona unaanza kulalamika na kujitetea kwa hofu?

Kwani wewe si ndicho ulichotaka hicho kuwa na huyo mwanamke, why unaogopa kuweka ndani mali hiyo ufanye nayo maisha au unaogopa na wewe itakupiga matukio kama ya mwenzako?

Chukua mke huyo anza nae maisha, sometimes mke mwema anatoka kwa bwana.
Kwa kweli inashangaza sana. Kipindi mwanamke yuko kwenye ndoa mleta mada alikuwa anampenda sana. Eti now kawavunjia ndoa yao eti nae hantaki tena huyo mwanamke na anampa majina mabaya eti singo maza wakati yeye ndo kamshawishi mpaka kupelekea huo using maza.
 
Kwa kweli inashangaza sana. Kipindi mwanamke yuko kwenye ndoa mleta mada alikuwa anampenda sana. Eti now kawavunjia ndoa yao eti nae hantaki tena huyo mwanamke na anampa majina mabaya eti singo maza wakati yeye ndo kamshawishi mpaka kupelekea huo using maza.
Sio majina mabaya bali ni khali khalisi
 
Back
Top Bottom