Unahtaj hekar ngap, na yawe na sifa zpi kiongoz nko songeaNaomba kuuliza wana JamiiForums,
Hivi ni maeneo gani mpaka sasa kwa mikoa inayolima Mpunga kwa mfano Songea ni Maeneo yapi mashamba ya mpunga bado yanakodishwa au kuuzwa kwa bei ya chini?
Kuna mapor mazur songea vjjn njoo kagua ukipendezwa lipa ufanye kaz Bei ni 60000 kwa heka.Nahtaji mashamba ya Mpunga yenye rutuba nzuri na ambayo yapo kweny ukanda unaotegemea mvua sio umwagiliaji na yawe na bei nzuri
Huko mvua ni za uhakika?Kuna mapor mazur songea vjjn njoo kagua ukipendezwa lipa ufanye kaz Bei ni 60000 kwa heka.
Mvua znapga sana, Kwan hujawah fika Kanda hiiHuko mvua ni za uhakika?
Mimi ni mkazi wa newala mkoani mtwara huko sijawahi kufanya harakati zaidi ya kupita barabarani tuMvua znapga sana, Kwan hujawah fika Kanda hii
Siku zote project kama hii unafanya pilot project kwanza. Anza hata na heka moja u-test hali kwanza.Huko mvua ni za uhakika?
Brother mimi ni muumini sana wa kujilipua kuna wakati nilieñda ngumbu kulima ufuta wengi walinishauri nilime heka chache kama 4 ili nijifunze kwakuwa ni mgeni kulima hilo zao, nikawaambia hapana nalima heka 50 kama hasara nipate yakunifilisi na kama faida nipate yakunitajirisha na kweli niliuupiga sana ufuta bei tu ndio ilikuwa ndogo ule mwaka ila laiti ingekuwa bei imefika hata 2000 kwakilo nilikuwa nanunua fuso mwaka uleSiku zote project kama hii unafanya pilot project kwanza. Anza hata na heka moja u-test hali kwanza.
KhaaaaaaKuna mapor mazur songea vjjn njoo kagua ukipendezwa lipa ufanye kaz Bei ni 60000 kwa heka.
Sasa mbona hukurudia kulima tena?Brother mimi ni muumini sana wa kujilipua kuna wakati nilieñda ngumbu kulima ufuta wengi walinishauri nilime heka chache kama 4 ili nijifunze kwakuwa ni mgeni kulima hilo zao, nikawaambia hapana nalima heka 50 kama hasara nipate yakunifilisi na kama faida nipate yakunitajirisha na kweli niliuupiga sana ufuta bei tu ndio ilikuwa ndogo ule mwaka ila laiti ingekuwa bei imefika hata 2000 kwakilo nilikuwa nanunua fuso mwaka ule
Kuna mapor mazur songea vjjn njoo kagua ukipendezwa lipa ufanye kaz Bei ni 60000 kwa heka.
Kiswahili ni lugha rahisi kuisikia lakini ni ngumu kuisikiliza.Kuna mapor mazur songea vjjn njoo kagua ukipendezwa lipa ufanye kaz Bei ni 60000 kwa heka.
Unauziwa jumla na mkataba wa mauziano unpewa na Kijiji,Hii 60K kwa kukodisha au kuuza,,!!??
Kulikuwa na vitu vingi vilivyochangia nisiende kulima ufuta pamoja na kulikuwa migogoro ya ardhi na watu wa hifadhi ila kubwa zaidi nilikuwa nayatengeneza mashamba yangu ya mikorosho kwasababu ndilo zao ninaloliamini kuliko yote hapa Tanzania kwahiyo hata hiyo pesa niliyokaipata nilienda kununua mashamba ya mikorosho tandahimbaSasa mbona hukurudia kulima tena?
Brother mimi ni muumini sana wa kujilipua kuna wakati nilieñda ngumbu kulima ufuta wengi walinishauri nilime heka chache kama 4 ili nijifunze kwakuwa ni mgeni kulima hilo zao, nikawaambia hapana nalima heka 50 kama hasara nipate yakunifilisi na kama faida nipate yakunitajirisha na kweli niliuupiga sana ufuta bei tu ndio ilikuwa ndogo ule mwaka ila laiti ingekuwa bei imefika hata 2000 kwakilo nilikuwa nanunua fuso mwaka ule
Sijawahi kulima mkuu ndio nataka nianze kwa mara ya kwanzaMkuu una uzoefu wa kulima mpunga ?? Mimi naona mpunga una kazi kulima kuliko mazao mengine
Weka mawasiliano.Unauziwa jumla na mkataba wa mauziano unpewa na Kijiji,