Msaada, kushuhudia mtu akijinyonga ni kosa kisheria!?

Call me GHOST

Member
Jan 18, 2019
53
95
Nahitaji kujua kwenye sheria kama ukikutana na mtu anataka kujiua na ukamuacha ajiue bila kufanya chochote unakua na makosa kisheria???na adhabu yake ni ipi!?
 
Hamna kosa hapo. Mbona mie nilishuhudiaga mjomba alipokua anajinyonga. Sema alienda kufia hospital pale Kahama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom