RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 52,052
- 108,934
Eneo lako lina tatizo la umeme mdogo. Low voltage.Wakuu nina friji langu aina ya HAIER nimelinunua miez 6 iliyopita nilikua nalitumia vizuri tu bila tatizo ila mgao wa UMEME ulipoanza basi umeme ukirudi linakua linachelewa kuwaka
Linakua linawajiwasha na kujizima hivyo hivyo hadi baadae sana umeme ukishatengamaa ndo linajiwasha moja kwa moja
Sasa shida imekuja juz umeme ulikatika ukaja kurudi likachelewa kujiwasha sana hadi jana asbuhi ila saa jana 5 umeme ukakatika tena na kuja kurudi hadi leo tokea hyo jana friji linajiwasha na kujizima tu kwa sekunde kadhaa
Hadi muda huu halijawaka zaidi ya kujiwasha tu na kujizima kwa sekunde mbili, nashindwa kuelewa changamoto ninini maana friji yenyewe ni ndogo ya mlango mmoja tu na huwa inatumia umeme kidogo sana unit moja unatumia siku 3 na hapo umeliwasha masaa 24
Tatzo litakua ninini?Ila huwa situmii friji guard wala stablaiza....