Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,401
- 5,984
Yuko busy sana acha kumsumbua
Yuko busy sana acha kumsumbua
We Jamaa unaua mbavu zanguPole sana kijana.
Kwanza hapo niseme tu kwamba hauna mke, na huyo unaemuita msomi ni bwege tu mmoja anaedanganyika na nguo zinazo mbana anapo vaa.
Ebu piga chini hiyo kitu chap, na ukome hii tabia ya kujiona haujaendashule ndio uwe mnyonge lafa mkubwa wewe.
Tena hicho kikaragosi chako kingekua na kazi ya maana bilashaka hata kupumua usinge hema kabisa ..dadadeqi.
Tafuta mwenzake ili nawewe uwe bize na huache kumtafutaHallo ndugu zangu
Nina mchumba wangu ambaye tumepanga kuoana mimi na yeye mwaka kesho. Ila hali za huyo mchumba wangu mpaka sasa hivi na shindwa kuzielewa kabisa.
Mimi huyo mchumba wangu ni mtu ambaye amesoma ni msomi kabisa na anafanya kazi ya usecratary kwenye kampuni fulani apa mjini. Na mimi na fanya kazi zangu mjini apa za kawaida tu.
Sasa huyo mchumba wangu tangu apate kazi hiyo ni mtu wa ubize ubize tu kila saa yaani yeye hana mda wa kutulia nyumbani kabisa eti labda unaweza kuonana naye au kuongeya naye kwenye simu mda uo hana ni mtu wa ubize ubize na nikikutana naye mda wote yeye ni mtu wa kunikosoa kosoa hata kama yeye ndo ana kosa mda wote yupo ivo tu
Hivi ni njia gani ni tumie kuishi na mwanamke kama huyo au nimpege chini ni mtafute mwanamke ambaye ajasoma kama mimi
Maana hawa wasomi mmmm sio watu wazuri kabisa wanajiona wadogo zake Mungu
Kampata anaye kuzidi uchumiZamani alikuwa anakukosoa?
Kama kaanza sasa hivi ujue tayari........!!!!!! Kama hajaliwa anaelekea kuliwa!!!
Alikuwa mtulivu kwa sababu alikosa mshaara vijana tukitaka kuoa mke tutafute msichana ambaye kwao siyo washamba Sanaa na kipato na maendeleoApana alikuwa mtulivu kinoma baada yeye kumaliza chuo tu upumbavu ukawaka
typing yako tu inaonesha ushapigwaHallo ndugu zangu
Nina mchumba wangu ambaye tumepanga kuoana mimi na yeye mwaka kesho. Ila hali za huyo mchumba wangu mpaka sasa hivi na shindwa kuzielewa kabisa.
Mimi huyo mchumba wangu ni mtu ambaye amesoma ni msomi kabisa na anafanya kazi ya usecratary kwenye kampuni fulani apa mjini. Na mimi na fanya kazi zangu mjini apa za kawaida tu.
Sasa huyo mchumba wangu tangu apate kazi hiyo ni mtu wa ubize ubize tu kila saa yaani yeye hana mda wa kutulia nyumbani kabisa eti labda unaweza kuonana naye au kuongeya naye kwenye simu mda uo hana ni mtu wa ubize ubize na nikikutana naye mda wote yeye ni mtu wa kunikosoa kosoa hata kama yeye ndo ana kosa mda wote yupo ivo tu
Hivi ni njia gani ni tumie kuishi na mwanamke kama huyo au nimpege chini ni mtafute mwanamke ambaye ajasoma kama mimi
Maana hawa wasomi mmmm sio watu wazuri kabisa wanajiona wadogo zake Mungu
Shituka wewe, hutakiwi hapoHallo ndugu zangu
Nina mchumba wangu ambaye tumepanga kuoana mimi na yeye mwaka kesho. Ila hali za huyo mchumba wangu mpaka sasa hivi na shindwa kuzielewa kabisa.
Mimi huyo mchumba wangu ni mtu ambaye amesoma ni msomi kabisa na anafanya kazi ya usecratary kwenye kampuni fulani apa mjini. Na mimi na fanya kazi zangu mjini apa za kawaida tu.
Sasa huyo mchumba wangu tangu apate kazi hiyo ni mtu wa ubize ubize tu kila saa yaani yeye hana mda wa kutulia nyumbani kabisa eti labda unaweza kuonana naye au kuongeya naye kwenye simu mda uo hana ni mtu wa ubize ubize na nikikutana naye mda wote yeye ni mtu wa kunikosoa kosoa hata kama yeye ndo ana kosa mda wote yupo ivo tu
Hivi ni njia gani ni tumie kuishi na mwanamke kama huyo au nimpege chini ni mtafute mwanamke ambaye ajasoma kama mimi
Maana hawa wasomi mmmm sio watu wazuri kabisa wanajiona wadogo zake Mungu
Mkaushie bado dogo sana huyo uandishi wake unaakisi kichwa chake. Ogopa mtu anakuambia mchumba ake ni msomi sana alafu ni secretaryTumwambie au Tukaushe kwanza.
Mwambie tu,usimfiche.Tumwambie au Tukaushe kwanza.